Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
kwanini?Lissu ndiye aliyetuletea maandamano yasiyo na kikomo. hafai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini?Lissu ndiye aliyetuletea maandamano yasiyo na kikomo. hafai
KWANI YALE YA MWANZO MMEFANIKIWA KIPI AU NDIYO MKISHAMALIZA KUTEMBEA MNAENDA MNAKUSANYIKA MNAONGEA MNARUDI NYUMBANI MMECHOOOOOKA MNALALA SIKU IMEISHA
Sidhani kuna RPC atatoa kibali tena kwa Uhuni mliofanya [emoji209]
Mwanya wa kula hela za michango ya bure ya wabeba mabox wa dayasipora wanaopiga makelele asubuhi,mchana usiku wa manane huko kilabuhausi, ukiwajaza upepo kidogo tuu michangoTaarifa njema iliyotufikia hivi sasa inaeleza kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kinatarajia kutoa Ratiba mpya ya Maandamano ya Amani yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha, Kikokotoo na sheria mbovu za Uchaguzi.
Habari zinaeleza kwamba maandamano hayo yatagusa maeneo yote ambayo hayakuguswa awali, unaambiwa hakuna kijiji kitakachoachwa.
Kama ilivyo kawaida Maandamano hayo yataongozwa na Tundu Lissu na Freeman Mbowe.
Usiondoke JF ili ufahamu ratiba ya kijiji chako.
View attachment 2983183
Kwa hiyo bado nyumbani kwakoMoshi labda turudie yashafanyika last week
Utajua Hujui 🐼Ona ulivyo na uelewa duni!! Tangu lini RPC anatoa kibali cha maandamano?
Kyela badoKwa hiyo bado nyumbani kwako
Muulize Kinanampuzi pekee ndio ataudhuria huo ushuzi
Waliomblock mange wamekosea sana ona tushachonga wapuuzi wengineMwanya wa kula hela za michango ya bure ya wabeba mabox wa dayasipora wanaopiga makelele asubuhi,mchana usiku wa manane huko kilabuhausi, ukiwajaza upepo kidogo tuu michango
Nyie wanafaidi Sultan na genge lake,za serikali wananchi hadi wa chadema wanafaidika.Hizo hela za wafadhili Hadi serekali inazipokea, kwahiyo hakuna la ajabu hapo maana Kila mmoja anafaidi hela ya mzungu.
Kwani hizo wanazopata cdm wanaenda kuzitumia kuzimu, si huku huku nchini na watu wanapata ajira?Nyie wanafaidi Sultan na genge lake,za serikali wananchi hadi wa chadema wanafaidika.
Ajira gani ambazo chadema inatoa? Zile ambazo hata nssf hampeleki,maana Makene aliona anapoteza muda tu.Kwani hizo wanazopata cdm wanaenda kuzitumia kuzimu, si huku huku nchini na watu wanapata ajira?
Ajira lazima ziwe ni za NSSF? NSSF ipi kwanza, hii inayokula michango ya wananchi?Ajira gani ambazo chadema inatoa? Zile ambazo hata nssf hampeleki,maana Makene aliona anapoteza muda tu.
😆😆😆😆 NSSF inachukua michango ya wanachama inachangia kampeni za ccmAjira lazima ziwe ni za NSSF? NSSF ipi kwanza, hii inayokula michango ya wananchi?
yaani wewe ni kama mbuzi tu unakimbia bila kujua unaenda wapi nchi sasahivi imetulia maendeleo kila kona watu wana enjoyu maisha wewe unakwama wapi mama kafungua nchi acha kulala fanya kazi unakalia majungu tu shauri yakoHivi kwako wewe, kigezo cha maandamano kufanikiwa ni nini?
Kwa nchi kama Tanzania, ambayo watawala wamewageua wananchi kuwa ni mifugo yao wanayoweza kuiswaga na kuipeleka watakako, ile wananchi kujitokeza tu kupinga vitendo vya watawala, ni mafanikio makubwa sana ya awali.
Kila mafanikio yana hatua zake.
na mbowe anachangisha hela anaenda kulewa mnaakili kweli au matope chadema😆😆😆😆 NSSF inachukua michango ya wanachama inachangia kampeni za ccm
Daima unaandika ujingaSidhani kuna RPC atatoa kibali tena kwa Uhuni mliofanya 🐼
Analewa na mama yako, naye hana akili basina mbowe anachangisha hela anaenda kulewa mnaakili kweli au matope chadema