Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

NAJUA ANA HAKI YA KUTIA NIA NA NDIYO DEMOKRASIA, LAKINI KWA SASA CHADEMA NI KAMA IKO VITANI KWA SHERIA HIZI ZA UCHAGUZI, HALAFU UNALETA MTAFARUKU KWENYE VITA

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Hakuna tatizo, huo ni uchaguzi....
 
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

NAJUA ANA HAKI YA KUTIA NIA NA NDIYO DEMOKRASIA, LAKINI KWA SASA CHADEMA NI KAMA IKO VITANI KWA SHERIA HIZI ZA UCHAGUZI, HALAFU UNALETA MTAFARUKU KWENYE VITA

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Mimi nafikiri una wasiwasi wa bure..

Umesahau kuwa siasa ni mchezo wa kimkakati..

Ndugu Retired unafikiri kwa akili na ufahamu wako kweli serousily Wenje aweza kutoka huko na kutangaza tu kum - challenge VC Tundu Lissu bila kwanza kuwa na mkakakati maalumu uliopangwa na kukubalika..?

CHADEMA ya sasa iko very learned and advanced. Ina political strategists waliobobea na wako kazinj..

Usiwe na shaka iko vile kwa sababu maalumu. Na kwa taarifa tu ni kuwa wapo watakaojitokeza pia kum - challenge M/Kiti Freeman Mbowe lakini Mbowe ndiye atakaye kuwa mwenyekiti tena..

Don't worry. CCM hii katika mazingira na sheria mbovu hizihizi, this last time kwa msaada na uwezo mkuu wa Mungu aliyeumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo, ni lazima wapigwe kwa TKO na dunia na wote hawataamini na watashangaa, kupigwa butwaa wasijue nini kimetokea..!
 
Agreed, lkn unapoleta mambo ambayo hayana msingi/haraka sana kwenye vita, then lazima tuwe na mashaka na wewe.
We lazima utakuwa chawa wa mbowe amekutuma upime upepo..au we ni mbowe mwenyewe
 
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

NAJUA ANA HAKI YA KUTIA NIA NA NDIYO DEMOKRASIA, LAKINI KWA SASA CHADEMA NI KAMA IKO VITANI KWA SHERIA HIZI ZA UCHAGUZI, HALAFU UNALETA MTAFARUKU KWENYE VITA

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Cha ajabu unamuunga mkono siku hizi
 
Back
Top Bottom