hujagongwa tu? bado masaaWatakaohudhuria hiyo kampeni ni wale wapigaji waliokatiwa mirija ya kutafuna Nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujagongwa tu? bado masaaWatakaohudhuria hiyo kampeni ni wale wapigaji waliokatiwa mirija ya kutafuna Nchi
Kampeni hii itakayojulikana kwa jina la “TANZANIA YA WANANCHI” inalenga kuelimisha, kuhamasisha wananchi katika kutambua haki zao za msingi kwa kuzingatia misingi ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo pamoja na mambo mengine inatambua: Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa na wananchi ndio msingi wa mamlaka yote.
Pamoja na mambo mengine kampeni hii inalenga vilevile kuvunja kile kinachoelezwa kwamba ni dhana potofu ya “Tanzania ya Magufuli” ambayo inalenga kupoka mamlaka ya umma wa Watanzania ambayo yapo kikatiba.
Mtonyaji anabainisha kwamba maandalizi yameanza na itagegemewa kuzinduliwa rasmi hizi karibuni.
Kwamba Chadema ni mali ya babamkwe wa Mbowe.....hivyo mmempa Uenyekiti wa kudumu!
Aha wale waliogawa nyumba za serikali kwa michepuko na ndugu zao?Watakaohudhuria hiyo kampeni ni wale wapigaji waliokatiwa mirija ya kutafuna Nchi
Kuliko ule wa kumsafirisha Harmonise akamwimbie mapambio JiweHuu ni mradi mwingine wa kujustify matumizi ya ruzuku.
Mbona kwenye heading umeandika Election 2010?Kampeni hii itakayojulikana kwa jina la “TANZANIA YA WANANCHI” inalenga kuelimisha, kuhamasisha wananchi katika kutambua haki zao za msingi kwa kuzingatia misingi ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo pamoja na mambo mengine inatambua: Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa na wananchi ndio msingi wa mamlaka yote.
Pamoja na mambo mengine kampeni hii inalenga vilevile kuvunja kile kinachoelezwa kwamba ni dhana potofu ya “Tanzania ya Magufuli” ambayo inalenga kupoka mamlaka ya umma wa Watanzania ambayo yapo kikatiba.
Mtonyaji anabainisha kwamba maandalizi yameanza na itagegemewa kuzinduliwa rasmi hizi karibuni.
Na wale wanaosema TANZANIA YANMAGUGULI unamaanisha ni wendawazimu?Kwani kuna nchi isiyokuwa ya Wananchi?
Hizi ni dalili za kuishiwa sasa!
Kuliko ule wa kumsafirisha Harmonise akamwimbie mapambio Jiwe
Ninyi mnajustify 'dhuluma na ukandamizaji wa demokrasia'Huu ni mradi mwingine wa kujustify matumizi ya ruzuku.
Yaani hakuna kitu kinanikera eti "Rais Magufuli kawapa ndege ATCL".Nyambafu kwani hizo ndege ni za Magufuli ?.Nyie mnaoamini Ndege zinanunuliwa kwa hela za Magufuli tuwaiteje? Vilaza?
Tumefikia hatua usipokuwa mwana CCM si mwananchi
Hizo ni kodi za wananchi, na Zinarudi kwao kwa njia mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuwatetea pia kuwaelimisha Ng'ombe kama wewe kuwa hii Nchi ni ya Watanzania na si ya CCM.Huu ni mradi mwingine wa kujustify matumizi ya ruzuku.
Hizo ni kodi za wananchi, na Zinarudi kwao kwa njia mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuwatetea pia kuwaelimisha Ng'ombe kama wewe kuwa hii Nchi ni ya Watanzania na si ya CCM.
Bora tungeendelea kuwa Chini ya Mkoloni Mwingereza Kuliko haya Tunayaofanyiwa na CCM Wauwaji Wakubwa. Ubaguzi Uliopo ni bora ya Mkoloni Mwenyewe. Rais gani haheshimu Watanzania Wenzie, anawafanyia Unyama kana kwamba yeye ni Wa Taifa tofauti.Jifunze kuheshimu chama kilichopigania uhuru hapa Nchini.
Kwani kuna nchi inayomilikiwa na mtu mmoja?
LGBTWatakaohudhuria hiyo kampeni ni wale wapigaji waliokatiwa mirija ya kutafuna Nchi