Elections 2010 CHADEMA kuzindua kampeni “Tanzania ya wananchi”

Elections 2010 CHADEMA kuzindua kampeni “Tanzania ya wananchi”

Kampeni hii itakayojulikana kwa jina la “TANZANIA YA WANANCHI” inalenga kuelimisha, kuhamasisha wananchi katika kutambua haki zao za msingi kwa kuzingatia misingi ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo pamoja na mambo mengine inatambua: Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa na wananchi ndio msingi wa mamlaka yote.

Pamoja na mambo mengine kampeni hii inalenga vilevile kuvunja kile kinachoelezwa kwamba ni dhana potofu ya “Tanzania ya Magufuli” ambayo inalenga kupoka mamlaka ya umma wa Watanzania ambayo yapo kikatiba.

Mtonyaji anabainisha kwamba maandalizi yameanza na itagegemewa kuzinduliwa rasmi hizi karibuni.

Waambieni watu maendeleo gani mmefanya ndani ya miaka mitano, sio porojo tuu
 
Sidhani kama siro atakubali huo mpango ufanyike maana waaona ndio chanzo cha maandamano
 
Kwamba Chadema ni mali ya babamkwe wa Mbowe.....hivyo mmempa Uenyekiti wa kudumu!

Magufuli alipogombea uenyekiti wa ccm kwa kushindanishwa na kivuli chake mlikuwa mnamaanisha nn?

Naona unarukaruka kama maharage yanayokaukiwa na maji. Ila ndiyo kuiva kwenyewe huko. Bado kitambo kidogo utaelewa.
 
Kampeni hii itakayojulikana kwa jina la “TANZANIA YA WANANCHI” inalenga kuelimisha, kuhamasisha wananchi katika kutambua haki zao za msingi kwa kuzingatia misingi ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo pamoja na mambo mengine inatambua: Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa na wananchi ndio msingi wa mamlaka yote.

Pamoja na mambo mengine kampeni hii inalenga vilevile kuvunja kile kinachoelezwa kwamba ni dhana potofu ya “Tanzania ya Magufuli” ambayo inalenga kupoka mamlaka ya umma wa Watanzania ambayo yapo kikatiba.

Mtonyaji anabainisha kwamba maandalizi yameanza na itagegemewa kuzinduliwa rasmi hizi karibuni.
Mbona kwenye heading umeandika Election 2010?
 
Huu ni mradi mwingine wa kujustify matumizi ya ruzuku.
Ninyi mnajustify 'dhuluma na ukandamizaji wa demokrasia'
Tanzania ni ya WaTanzania kwani ni uongo?!
Mtatia akili tu
Wakati ukuta umefika
 
Huu ni mradi mwingine wa kujustify matumizi ya ruzuku.
Hizo ni kodi za wananchi, na Zinarudi kwao kwa njia mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuwatetea pia kuwaelimisha Ng'ombe kama wewe kuwa hii Nchi ni ya Watanzania na si ya CCM.
 
Hizo ni kodi za wananchi, na Zinarudi kwao kwa njia mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuwatetea pia kuwaelimisha Ng'ombe kama wewe kuwa hii Nchi ni ya Watanzania na si ya CCM.

Jifunze kuheshimu chama kilichopigania uhuru hapa Nchini.
 
Jifunze kuheshimu chama kilichopigania uhuru hapa Nchini.
Bora tungeendelea kuwa Chini ya Mkoloni Mwingereza Kuliko haya Tunayaofanyiwa na CCM Wauwaji Wakubwa. Ubaguzi Uliopo ni bora ya Mkoloni Mwenyewe. Rais gani haheshimu Watanzania Wenzie, anawafanyia Unyama kana kwamba yeye ni Wa Taifa tofauti.
 
Back
Top Bottom