CHADEMA kuzindua Mikutano ya Hadhara Januari 21, 2023

CHADEMA kuzindua Mikutano ya Hadhara Januari 21, 2023

Ni muda muafaka sasa chadema nao waonyeshe uungwana kwa kuondoa ile kesi yao na akina Mdee na wenzake
Hamna kuondoa kesi. Covid19 ni moja ya agenda kwenye mazungumzo yaliyopelekea kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara. Mazungumzo bado yanaendelea.
 
Back
Top Bottom