Kwa mdomo ule, mmmh 🙄Ahadi nyingine ambayo ni muhimu kwa Chadema ni kuwahakikishia wananchi kwamba Mgombea wake akishinda HATAWATUKANA WANANCHI WALA VIONGOZI WENGINE WANAOMSAIDIA KAZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mdomo ule, mmmh 🙄Ahadi nyingine ambayo ni muhimu kwa Chadema ni kuwahakikishia wananchi kwamba Mgombea wake akishinda HATAWATUKANA WANANCHI WALA VIONGOZI WENGINE WANAOMSAIDIA KAZI
Ulaya kabla ya hzo technologia haikuweza kuajiri watu woteHapana so kweli,Ulaya na Amerika ajira ndio tatizo kwa sababu ya kukua sana kwa teknolojia,hivyo kazi za kufanywa na binadamu zinafanywa na machine na maroboti zaidi,lakini sio hapa Afrika,hususani Tanzania.
Hapa Afrika Ni mipango mibaya tu ya Sera.
Ajira zinaweza kutengenezwa.
Ni kuunda ajira wenyew ili kuisaidia nchi kuendlea zaidKwa hiyo tufanyeje?
Upo sawa ndo maana serikal inafanya kaz kuondoa hyo tabia ya vimemoLkn watoto wote wa wazito huko serikalini wanafanya kazi sekta nyeti tena kwa vimemo tu lkn tatizo la ajira linakuja kua kwa watoto wa maskini tu, wao tu ndio wakajiajiri kwa kutumia vitambulisho vya wamachinga hahahah.
Ajabu sana
Hata Jk alipokuwepo watu walikua wanadai ajiraKwahiyo kama ni dunia nzima,JK yeye hakua anajua kua dunia nzima ajira ni tatizo,ila katika utawala wa huyu Pombe ndo imejulikana?
Mkiambiwa kasoro zenu mnasema ni hali ya Dunia nzima, mkiambiwa mazuri ya wemzenu mnasema siyo lazima kuiga ya wengine. Mko vuguvugu mpaka mnastahili kutapikwa.Dunia nzma ajira ni tatizo
Hiyo ndo misingi ya mwanadam hata wewe upo vuguvugu cha msingi penda nchi yako kwa maendleo ya vizazi vijavyoMkiambiwa kasoro zenu mnasema ni hali ya Dunia nzima, mkiambiwa mazuri ya wemzenu mnasema siyo lazima kuiga ya wengine. Mko vuguvugu mpaka mnastahili kutapikwa.
Hapana sina mkuu,hizi nimeziona twitter kwa makamanda wa CHADEMA.Mkuu Ankara ya Mshahara kama unayo ilani ya CHADEMA iweke hapa basi! Ni jukumu letu wadau pia kuisoma na kuielewa ili tuanze kuihubiri majumbani kwetu na kule kote tunakopita!
Kwa hio hili lichama chakavu lipo madarakani ki haramu?!alipata kura mil 3 unusu tu dhidi ya kura mil 10 alizopata mgombea wa UKAWA , haya Lowassa aliyajua na alitamka hadharani lakini baadaye akaufyata , bali usitegemee ujinga kama huo kutoka kwa Lissu , akidhulumiwa kibwege ni lazima pachimbike , hilo halina mjadala
Kwa mara ya kwanza nimeona bandiko linalosema ukweli ninao uamini, kwa box la kura CCM haiwezi kuondoka madarakani kamwe. Bila kutumia njia mbadala huu ni uongo mtupu.Sijui ni kwanini Mimi ninaamini kwenye matumizi ya nguvu kuiondoa ccm kuliko hizi sera zenu? Hivi Kati yenu nani anaamini 2015 Magu alishinda uchaguzi? Chadema hawajaanza kuwa na sera nzuri leo, elimu bure pia ilikuwa sera ya chadema
Wizi, utapeliSasa ilikuwaje akatangazwa mshindi pamoja na kupata kura kidogo? Ndo maana Mimi naona bila matumizi ya nguvu,ccm bado ipo sana
Mwita Waitara ni Nani ?Hapo Ufipa mmeajiri watu wangapi maana Mwita Waitara alidau hata michango ya nssf ya watumishi wawili waliopo hamuiwasilishi!
Hiki ndo Chama Makini sasa.View attachment 1530307
Ushauri wangu:CHADEMA waandae na wasambaze kwa wingi vipeperushi vyenye sera hizi kuanzia kwenye madaladala,mabasi ya mikoani,sokoni,kwenye mabaa, na sehemu nyingine zozote zile zenye mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni ukifika.
Msisahau pia swala la kupunguza PAYE pamoja na swala la kupunguza kama sio kufuta kabisa makato ya Bodi ya Mikopo.
Mkiondoa au kupunguza mashangingi serikalini,kufuta mbio za mwenge, na hata kupunguza au kuondoa kabisa sitting allowance za wabunge na mambo mengine, mnaweza pata fedha za kusomesha watoto wa masikini wa nchi bila kuwabagua kwa madaraja au kutokana na uwezo mzuri wa kifamilia kwa wale wanaotoka katika famila zinazojiweza/zenye unafuu wa kipato.
Sera nyingine ni kama hizi:
View attachment 1530347
View attachment 1530349
CCM must go!!
Viongozi wa Kanda hapa Kona ya Bwiru Mwanza hawaishi kupiga mizinga!Hapo Ufipa mmeajiri watu wangapi maana Mwita Waitara alidau hata michango ya nssf ya watumishi wawili waliopo hamuiwasilishi!
Mkuu kama kapigwa risasi na bado hapajachimbika unadhani akiibiwa ndopaachimbika?alipata kura mil 3 unusu tu dhidi ya kura mil 10 alizopata mgombea wa UKAWA , haya Lowassa aliyajua na alitamka hadharani lakini baadaye akaufyata , bali usitegemee ujinga kama huo kutoka kwa Lissu , akidhulumiwa kibwege ni lazima pachimbike , hilo halina mjadala
Unatia huruma sana. Huyo Magu wenu atashindia wapi???Ushindi wa Magu mwaka huu ni zaidi ya mafuriko! Hatupeleki wasanii wa kuigiza ikulu! Tunapeleka wenye uthubutu na utimamu wa akili! Mungu azidi mbariki, kumuongoza na kumtunza rais wetu mpendwa My. Dr. JJ P Magufuli! Mungu ibariki zaidi Tz!
Mlevi flani aliyenunuliwa na ccm
Hiyo haina tofauti na punda afe ila mzigo ufikeJPM yeye anaaisitiza kazi tu lqkini maslahi hajali kabisa.