GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,880
- 11,134
Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu
Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero
Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0
Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa
Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini
Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october
October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie
Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu
Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu
Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,
Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?
Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma
Chadema kutoka people's power mpaka ..................
Shikwambi oyee,
Shikwambi oyee
Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,
Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele
Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo
Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo
Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero
Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0
Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa
Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini
Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october
October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie
Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu
Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu
Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,
Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?
Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma
Chadema kutoka people's power mpaka ..................
Shikwambi oyee,
Shikwambi oyee
Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,
Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele
Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo
Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo