Uchaguzi 2020 CHADEMA kwaheri ya kuonana. Chama kitabaki Youtube, Twitter, Facebook na Instagram

Uchaguzi 2020 CHADEMA kwaheri ya kuonana. Chama kitabaki Youtube, Twitter, Facebook na Instagram

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu

Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero

Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0

Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa

Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini

Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october

October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie

Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu

Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu

Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,

Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?

Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma

Chadema kutoka people's power mpaka ..................

Shikwambi oyee,

Shikwambi oyee

Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,

Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele

Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo

Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo
 
Umesema kweli ingawa mchungu inabidi wameze tu kwani haya ndio matokeo ya kudharau "Tume huru"

Hivi kuna mtanzania anayefhani inaumizwa chadema siyo kwamba wanaoumizwa ni watanzania wenye mamlaka ya kuchagua viongozi wa kuwaongoza.

Suala la tume huru ni la wananchi wote wanaoshiriki kwenye uchaguzi kuhakikisha uamuzi wao kwa njia ya kura ndiyo unapelekea kupatikana kwa viongozi. Hivi kwanini Rais huwa hapiti bila kupingwa.

Endeleeni kupandisha joto la uchaguzi kama vile humfahamu kuwa chanzo cha machafuko huwa ni wakati wa uchaguzi. Wagombea wa upinzani wanatekwa halafu inalaumiwa CHADEMA kwa kosa gani. Kila mtanzania ajilaumu kuwa tumefikaje huku kwenye kuteka wagombea wengine ili tupite bila kupingwa.
 
Ubunge sio urais, msijidanganye kuhesabu wabunge 18, wote hao wanawekewa mapingamizi na hata ikibidi kesi zinafunguliwa mahakamani na mpira unarudishwa uwanjani.

Ngojea ndani ya saa 48 zijazo mbona mtafurahi wenyewe. Mwaka huu ni bamba to bamba, mtakojoa dagaa.
 
Ubunge sio urais, msijidanganye kuhesabu wabunge 18, wote hao wanawekewa mapingamizi na hata ikibidi kesi zinafunguliwa mahakamani na mpira unarudishwa uwanjani.

Ngojea ndani ya saa 48 zijazo mbona mtafurahi wenyewe. Mwaka huu ni bamba to bamba, mtakojoa dagaa.
Waambie hawa. Mbinu zao zote ziko uchi mwaka huu na lazima wateme ndoano
 
Naona tumechanganywa na Lissu kupita hatimaye tunakuja kwa fujo kujifariji humu embu tu deal na matatizo ya watanzania na jinsi gani tutayatatua pamoja na umasikini uliokithiri, nadhani tungekua bize kuandaa hizo agenda za kuanza kampeni
 
Hakuna jipya hapa Tanzania ,Kesi zitachukua miaka 5
Sawasawa!! Endelea kujipa moyo. Unadhani nchi yote hawana akili kuacha nchi iwekewe vikwazo na wananchi waumie kwa ajili ya upuuzi wa nyie wachache CCM??? Hapana. The world is watching and ready to decide
 
Naona tumechanganywa na Lissu kupita hatimaye tunakuja kwa fujo kujifariji humu embu tu deal na matatizo ya watanzania na jinsi gani tutayatatua pamoja na umasikini uliokithiri, nadhani tungekua bize kuandaa hizo agenda za kuanza kampeni
Wanasikitisha sana hawa wahuni CCM. Ila wakumbuke uhuni wao sasa baasi!!
 
Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu

Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0

Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa

Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini

Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october

October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie

Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu

Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu

Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,

Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?

Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma

Chadema kutoka people's power mpaka ..................

Shikwambi oyee,

Shikwambi oyee

Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,

Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele

Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo

Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo

Tatizo moja ujinga mliokuw anao MATAGA ni kuw asote tunaishi humu humu na haya machungu ya uchumi hata kama unalipwa buku 7, yapo pallepale tunagawana.
Wazazi wako kijijini na wangu wanateseka vilevile, kwahiyo ni jabu unapoon amjinga mmoja anashangilia mateso ya waTZ wote.
 
Back
Top Bottom