Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 841
- 1,755
Shikwambi baba lao #tutawaonea huruma baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mbinu za kisasa hakikisha Mungu anabariki hizo mbinu kama tu zilikuwa halali otherwise my dear soon utakubaliana na Mungu maana maombi ya mwenye haki husikika haraka sanaWanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu
Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero
Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0
Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa
Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini
Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october
October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie
Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu
Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu
Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,
Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?
Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma
Chadema kutoka people's power mpaka ..................
Shikwambi oyee,
Shikwambi oyee
Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,
Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele
Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo
Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo
Tayari mlishaumiaKwa kweli watanzania mtabaki nyuma sana kwa huu ujinga wa kuishabikia ccm, wengi ni mazezeta kabisa hawajui hata maana ya siasa za upinzani. Kumbuka ilibidi Nyerere awalazimishe watu kufanya siasa za upinzani hata baada ya watu 80% kutaka kuendelea na chama kimoja. Akili za watanzania wengi zipi nyuma sana, unaweza kuona kabisa maeneo yenye watu waliofunguka hata ccm haina nguvu huko. Ujinga ndio rutuba ya ccm.
Mkuu usipanic andika kwa herufi ndogo tu Watanzania Ni waelewa Sana watakuelewa.MWENYEKITI WAKO ALITUAMBIA KUWA ATAHAKIKISHA KUWA IFIKAPO 2020 ATAKUWA AMEUFUTA UPINZANI TANZANIA, AJABU MWAKA 2020 NDIO HUU NA BADO MNATEGEMEA KUTUMIA POLISI KUNYANG'ANYA WAPINZANI FOMU ILI MUONEKANE MMEPITA BILA KUPINGWA. MIAKA MINNE MNAFANYA SIASA WENYEWE LAKINI BADO HAMJIAMINI
Kwa wizi wakijinga kiasi hichoNjoo huku mlishaumia sasa
MMEPIGA BOMU MOCHUARI KISHA MNATAMBA KUWA MMEFANYA MAUAJI YA KUTISHAMkuu usipanic andika kwa herufi ndogo tu Watanzania Ni waelewa Sana watakuelewa.
mmepiga bomu mochuari kisha mnatamba kuwa mmefanya mauaji ya kutisha.Njooni huku
Masikini mataga.
Haya ndiyo maugoro mnayolishana huko Lumumba??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Vipi mkuu! Nlikuonya uache kunshabikia Amsterdam hukusikia! Ona sasa aibu inayokupataHapo ndo CCM mlipofikia???? Yani kutegemea kushinda kwa njama ovu na ufedhuli????
Amini nakwambia. CCM mnaenda kuwa Chama pinzani mwaka huu. Yatakayowapata mwaka huu hamtoamini!!