Uchaguzi 2020 CHADEMA kwaheri ya kuonana. Chama kitabaki Youtube, Twitter, Facebook na Instagram

Uchaguzi 2020 CHADEMA kwaheri ya kuonana. Chama kitabaki Youtube, Twitter, Facebook na Instagram

Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu

Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero

Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0

Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa

Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini

Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october

October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie

Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu

Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu

Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,

Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?

Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma

Chadema kutoka people's power mpaka ..................

Shikwambi oyee,

Shikwambi oyee

Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,

Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele

Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo

Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo
Watu wengi wanaoshabikia ccm ukiwatazama vizuri akili zao sio nzuri na ni watu wavivu na walafi.
 
Watu wengi wanaoshabikia ccm ukiwatazama vizuri akili zao sio nzuri na ni watu wavivu na walafi.
Nini kosa la ccm mkuu
Taja makosa ya ccm kwanza
Ccm haina makosa bali wananchi wana makosa
 
Nini kosa la ccm mkuu
Taja makosa ya ccm kwanza
Ccm haina makosa bali wananchi wana makosa
Kwa kweli watanzania mtabaki nyuma sana kwa huu ujinga wa kuishabikia ccm, wengi ni mazezeta kabisa hawajui hata maana ya siasa za upinzani. Kumbuka ilibidi Nyerere awalazimishe watu kufanya siasa za upinzani hata baada ya watu 80% kutaka kuendelea na chama kimoja. Akili za watanzania wengi zipi nyuma sana, unaweza kuona kabisa maeneo yenye watu waliofunguka hata ccm haina nguvu huko. Ujinga ndio rutuba ya ccm.
 
Genge moja la makamishna wa uchaguzi chini ya NEC limeamua kujichukulia madaraka ya kuamua na kenge kama ww unaona ni sawa. Kumiliki smartphone haimaanishi na ww ni smart kichwani.
Raisi ateue wakuu wa wilaya, mikoa, tume ya uchaguzi, makamishna/wakurugenzi wa uchaguzi n.k. na bado wabunge na madiwani ambao wanatakiwa kuchaguliwa na wananchi wateuliwe na genge moja lililoteuliwa na raisi waamue ama kulipa fadhila au kutekeleza maagizo. This time sidhani kama game itaisha kirahisi kama mnavyodhania. Tutakutana mtaani
IMG_20200820_065657.jpg
 
Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu

Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero

Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0

Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa

Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini

Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october

October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie

Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu

Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu

Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,

Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?

Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma

Chadema kutoka people's power mpaka ..................

Shikwambi oyee,

Shikwambi oyee

Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,

Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele

Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo

Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo

Unao wajibu wa kutaa mfumo huu wa kihuni, Tutawaachia watoto wetu nchi ya aina gani? Ukifurahia mambo haya nitakuwa na wasiwasi na kiwango chako cha uelewa. Nchi isiyokuwa na mifumo ya haki kwa watu wake haiwezi kupata maendeleo kamwe.
Inasikitisha sana kuona watu wanadhulumiwa haki zao na sisi wengine tunakenua meno, inashangaza sana.
 
Ubunge sio urais, msijidanganye kuhesabu wabunge 18, wote hao wanawekewa mapingamizi na hata ikibidi kesi zinafunguliwa mahakamani na mpira unarudishwa uwanjani.

Ngojea ndani ya saa 48 zijazo mbona mtafurahi wenyewe. Mwaka huu ni bamba to bamba, mtakojoa dagaa.
Pingamizi inaishia kwa Kaijage ndio final hakuna appeal zaidi.
 
Saivi ni NEC 23 vs upinzani 0,

bado sasa CCM Vs upinzani.

Iringa tunajua ni jimbo la mkwelima wa JPM hamwez kumfanyia figisu mwanae atakula nn ukweni
 
Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu

Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero

Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0

Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa

Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini

Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october

October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie

Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu

Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu

Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,

Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?

Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma

Chadema kutoka people's power mpaka ..................

Shikwambi oyee,

Shikwambi oyee

Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,

Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele

Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo

Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo
Kwahiyo uchaguzi unaoandamwa na vigezo kama hivyo unaweza kuitwa Free and Fair election?
 
Mwenyekiti wako alituambia kuwa atahakikisha ifikapo 2020 atakua ameufuta upinzani Tanzania, ajabu mwaka 2020 ndio huu na bado mnategemea kutumia Polisi kunyang'anya wapinzani fomu ili muonekane mmepita bila kupingwa. Miaka minne mnafanya siasa wenyewe lakini bado hamjiamini.
 
MWENYEKITI WAKO ALITUAMBIA KUWA ATAHAKIKISHA KUWA IFIKAPO 2020 ATAKUWA AMEUFUTA UPINZANI TANZANIA, AJABU MWAKA 2020 NDIO HUU NA BADO MNATEGEMEA KUTUMIA POLISI KUNYANG'ANYA WAPINZANI FOMU ILI MUONEKANE MMEPITA BILA KUPINGWA. MIAKA MINNE MNAFANYA SIASA WENYEWE LAKINI BADO HAMJIAMINI
Njooni huku
 
Hapo ndo CCM mlipofikia???? Yani kutegemea kushinda kwa njama ovu na ufedhuli????

Amini nakwambia. CCM mnaenda kuwa Chama pinzani mwaka huu. Yatakayowapata mwaka huu hamtoamini!!
Tayari mlishaumia
 
Back
Top Bottom