Kashaulo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2019
- 2,936
- 4,947
Kitakacho iua chadema ni ujuaji kwa mambo ambayo hawayajui vizuri.
Kumbe bado haijafa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitakacho iua chadema ni ujuaji kwa mambo ambayo hawayajui vizuri.
Watu wengi wanaoshabikia ccm ukiwatazama vizuri akili zao sio nzuri na ni watu wavivu na walafi.Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu
Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero
Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0
Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa
Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini
Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october
October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie
Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu
Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu
Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,
Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?
Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma
Chadema kutoka people's power mpaka ..................
Shikwambi oyee,
Shikwambi oyee
Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,
Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele
Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo
Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo
Nini kosa la ccm mkuuWatu wengi wanaoshabikia ccm ukiwatazama vizuri akili zao sio nzuri na ni watu wavivu na walafi.
Kwa kweli watanzania mtabaki nyuma sana kwa huu ujinga wa kuishabikia ccm, wengi ni mazezeta kabisa hawajui hata maana ya siasa za upinzani. Kumbuka ilibidi Nyerere awalazimishe watu kufanya siasa za upinzani hata baada ya watu 80% kutaka kuendelea na chama kimoja. Akili za watanzania wengi zipi nyuma sana, unaweza kuona kabisa maeneo yenye watu waliofunguka hata ccm haina nguvu huko. Ujinga ndio rutuba ya ccm.Nini kosa la ccm mkuu
Taja makosa ya ccm kwanza
Ccm haina makosa bali wananchi wana makosa
Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu
Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero
Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0
Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa
Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini
Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october
October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie
Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu
Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu
Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,
Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?
Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma
Chadema kutoka people's power mpaka ..................
Shikwambi oyee,
Shikwambi oyee
Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,
Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele
Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo
Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo
Kwani vp unataka kumwaga mkojo?Wanasikitisha sana hawa wahuni CCM. Ila wakumbuke uhuni wao sasa baasi!!
Pingamizi inaishia kwa Kaijage ndio final hakuna appeal zaidi.Ubunge sio urais, msijidanganye kuhesabu wabunge 18, wote hao wanawekewa mapingamizi na hata ikibidi kesi zinafunguliwa mahakamani na mpira unarudishwa uwanjani.
Ngojea ndani ya saa 48 zijazo mbona mtafurahi wenyewe. Mwaka huu ni bamba to bamba, mtakojoa dagaa.
Kwahiyo uchaguzi unaoandamwa na vigezo kama hivyo unaweza kuitwa Free and Fair election?Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu
Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero
Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0
Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa
Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini
Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october
October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie
Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu
Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu
Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,
Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?
Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma
Chadema kutoka people's power mpaka ..................
Shikwambi oyee,
Shikwambi oyee
Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,
Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele
Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo
Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo
Njooni hukuMWENYEKITI WAKO ALITUAMBIA KUWA ATAHAKIKISHA KUWA IFIKAPO 2020 ATAKUWA AMEUFUTA UPINZANI TANZANIA, AJABU MWAKA 2020 NDIO HUU NA BADO MNATEGEMEA KUTUMIA POLISI KUNYANG'ANYA WAPINZANI FOMU ILI MUONEKANE MMEPITA BILA KUPINGWA. MIAKA MINNE MNAFANYA SIASA WENYEWE LAKINI BADO HAMJIAMINI