Wenyewe wanakwambia kigogo wa twiter na kale ka beberu kao ka amsterdam wataikomesha ccmHawa watu wabishi sana
Mkuu chadema haikuweka wagombea nchi nzima, haya hata kule walikoweka nduo huko tayari 22 mmeahapigwa.Hapo ndo CCM mlipofikia???? Yani kutegemea kushinda kwa njama ovu na ufedhuli????
Amini nakwambia. CCM mnaenda kuwa Chama pinzani mwaka huu. Yatakayowapata mwaka huu hamtoamini!!
Mahakama hizi hizi mnazozitukana kila siku?Ubunge sio urais, msijidanganye kuhesabu wabunge 18, wote hao wanawekewa mapingamizi na hata ikibidi kesi zinafunguliwa mahakamani na mpira unarudishwa uwanjani.
Ngojea ndani ya saa 48 zijazo mbona mtafurahi wenyewe. Mwaka huu ni bamba to bamba, mtakojoa dagaa.
Kwa hiyo Amsterdam ataiwekea nchi vikwazo sababu CHADEMA imeshindwa?Sawasawa!! Endelea kujipa moyo. Unadhani nchi yote hawana akili kuacha nchi iwekewe vikwazo na wananchi waumie kwa ajili ya upuuzi wa nyie wachache CCM??? Hapana. The world is watching and ready to decide
Basi endelea kusubiri hadi 2030 chadema mkikomaa ndio hakutakuwa na mtu kupita bila kupingwaInaelekea umeanza 2015 kufuatilia mambo ya uchaguzi. Iko hivi kwa hayo majimbo 22 mlikofanya figisu failure in CCM, kwa sababu CHADEMA imezidi kupunguza gap la kupita bila kupingwa mwaka 2005 kulikuwa na takriban majimbo 70 hayajuwa na upinzani, 2010 zaidi ya majimbo 50, 2015 zaidi ya 30. Mwaka huu 22 unajifunza nini? Unaweza kutabiri 2025?
Nendeni mkadeki barabara tu kwa sasa mtakua chama cha kwenye social media tuHapo ndo CCM mlipofikia???? Yani kutegemea kushinda kwa njama ovu na ufedhuli????
Amini nakwambia. CCM mnaenda kuwa Chama pinzani mwaka huu. Yatakayowapata mwaka huu hamtoamini!!
Pole sanaInaelekea umeanza 2015 kufuatilia mambo ya uchaguzi. Iko hivi kwa hayo majimbo 22 mlikofanya figisu failure in CCM, kwa sababu CHADEMA imezidi kupunguza gap la kupita bila kupingwa mwaka 2005 kulikuwa na takriban majimbo 70 hayajuwa na upinzani, 2010 zaidi ya majimbo 50, 2015 zaidi ya 30. Mwaka huu 22 unajifunza nini? Unaweza kutabiri 2025?
MJULISHENI AMSTERDAM KUWA JAHAZI LA LISSU LINAMALIZIKIA KUZAMA, MPAKA WIKI IJAYO HALI YA CHADEMA ITAKUWA MBAYA SANANachochea watanzania tuanze kuchoma moto nyumba za wasimamizi wa uchaguzi hapo heshima ndo itaanza kupatikana
Oohooooo yetu machoGUSSIE usisahau kwamba katika KATA chadema wengi kweli walikata tamaa jumlisha na kutokuwa na uhakika kwamba Lissu atapitishwa na chama kugbea na wengi hawakuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la mpiga kura so wengi hawana sifa za kupiga kura sababu nyingine itakayowapa ushindi ccm majimbo mbalimbali.
Wanabodi,Mambo ya "SHIKWAMBI" .Ahaaa aaaaa unaweza kucheka lakini huu ndio uhalisia tutashinda kwa mbinu
Kabla ya mpira kuanza na filimbi kupigwa ili mpira uanze katikati ya uwanja tayari chadema wameweka mpira kwapani na kukimbia nje ya uwanja ,Refa ameshatangaza matokeo ccm 18 na Chadema sifuri au zero
Shikwambi =Shinda kwa mbinu.Mpaka sasa Chadema walishapigwa majimbo kumi na nane kwa sifuri .Ccm 18 na Chadema 0
Tulitahadharisha hapa mara nyingi sisi kama ccm kuwa chadema mtashindwa vibaya mwaka huu hata kuliko uchaguzi wa serikali za mitaa
Serikali ya mitaa ilitumika mbinu ya kawaida sana ya KATA= Katisha tamaa.Mlikata tamaa na kujaza fomu hovyo hivyo tukawapiga kwenye kata na vijiji kwa asilimia zaidi ya tisini
Wafia Chadema hapa mtandaoni walitushambulia sana lakini kilichowapata jana kabla ya filimbi kuu ni mshindo mkuu ,Sasa tukutane october
October mnapigwa Shikwambi yenyewe mtabaki Youtube,tweeter,Instagram na whatsapp mkilia lia na kusubiri mabeberu wawasaidie
Tuliwaambia wapiga kura ni wakulima huko vijijini hawajui tweter,Facebook au instagram ,Huko vijijini ni shamba na jembe tu
Majimbo ya Arusha mjini,Mbeya mjini tulishawapiga vibaya kabla ya octoba tunasubiri kutangazwa tu
Iringa mjini tunawaachia jimbo kidogo mpate hewa huko,
Chadema mnajua nani anapiga kura?
Chadema mnajua nani anahesabu kura?
Chadema kutoka nguvu ya uma mpaka udhaifu wa uma
Chadema kutoka people's power mpaka ..................
Shikwambi oyee,
Shikwambi oyee
Tumewapiga kwenye mitaa ,ccm mbele kwa mbele,Tumewapiga majimbo 18 ccm mbele kwa mbele ,
Na sasa tutawapiga majimbo yote isipokuwa majimbo 2 tu ,ccm mbele kwa mbele
Mambo mengi tunayoshauri hapa ccm inayashughulikia sana,Tulishauri warudishe Bbc swahili mambo safi,Tulishauri waonyeshe story za upinzani jana kwenye mchakato wa Tume Tbc imefanya hivyo
Tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi october ,Unatekenywa lakini unalia ndio mbinu zenyewe hizo
CCM hawataki ushindani wa haki na wazi wanalazimisha kitupelekea wabunge wasio chaguo la wananchi Bungeni kwenda kugonga meza kusema ndiyooo ndiyooo kupitisha Sheria mbovu mbovu mikataba ya hovyo hovyo kwa wingi wao BungeniJana mmehakiki fomu za chadema kuanzia saa 6 mpaka saa moja usiku lakini hamkukuta kosa lolote.
Vyombo vya habari vyote mmetoa maelekezo wasitoe taarifa za Chadema.
Miaka mi5 mmezuia wasifanye siasa.
Na wewe unakuja na UTOPOLO wako ,hivi kichwa kizima kweli?
Mtukufu kachukua pesa za viwanda kaenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na sasa anatumia pesa alizovuna 10% kwenye miradi yote mikubwa kudidimiza demokrasia kuwahujumu wapinzani CCM ni ile ile Ukoo wa panyattaizo moja ujinga mliokuw anao MATAGA ni kuw asote tunaishi humu humu na haya machungu ya uchumi hata kama unalipwa buku 7, yapo pallepale tunagawana.
wazazi wako kijijini na wangu wanateseka vilevile, kwahiyo ni jabu unapoon amjinga mmoja anashangilia mateso ya waTZ wote.