IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Isayamwita mbona hueleweki? naomba unijazie majibu haya kama kweli unasababu za msingi
-Ni nani amejenga management system ya CHADEMA, ni vikao au Mbowe?
-Nani anayetekeleza? Vikao? Mbowe au Dr. Slaa?
-Panapotokea matatizo katika management system nani anaehusika kurekebisha? Vikao, Mbowe au Dr. Slaa?
-Mfumo upi wewe unapendekeza kuimarisha management system? Kubadili watu au kupitia upya system?
-Mara nyingi usipende kukimbilia kufukuza au kujiuzulu
No body is perfect, do investigation then evaluate before you conclude my friend. Pia kama unaona unahoja ya msingi na muhimu better ukajua ni nzuri based on convicing majority sio umahiri wa kusema na kuwa mtu wa magoli ya kuotea.
Nakusifu kwa kusimamia ulionalo BUT jenga hoja please.
Asante
Kichwa Ngumu,
Naomba sana uelewe kuwa sisi hatuko hapa kujivua nguo zetu, ni vipi Kichwa ngumu ukamkuta baba yako yuko uchi utamwambia jirani yako eti baba leo alikuwa uchi?
Na ungependa nianze na lipi kukujibu Mkuu? Lakini si vema kukubishia Mkuu wangu usije ukawalazimisha hao jamaa zako wakanifungia hapa jamnvini, ila tia akili mkuu.