Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Safi Sana..... Mimi nilishamdhamini Shinyanga hapaKyela ndio mwanzo wa nchi yetu kutokea Malawi na ndio mwisho wa Nchi hii ukitokea Dar es Salaam , unapotokea Malawi bendera ya kwanza ya chama cha siasa unayoiona unapovuka boda tu ni bendera ya Chadema , hii ndio bendera ya mwisho ya chama unayoweza kuiona pale boda kabla hujavuka kwenda Malawi .
Kwa wasifu huu mzito natoa wito kwa viongozi wa CHADEMA kanda ya Nyasa akiwemo Mchungaji Msigwa kuhakikisha kwamba ratiba ya "Mfufuka" Lissu inajumuisha jimbo la Kyela , kuna wadhamini wasio na idadi wanamsubiri .
Mungu ibariki Chadema
Hakika !Amefufuka kweli kweli
Mkimdhamini mmpigie na kuara, maana udhamini hautamfanya kuwa rais.Kyela ndio mwanzo wa nchi yetu kutokea Malawi na ndio mwisho wa Nchi hii ukitokea Dar es Salaam , unapotokea Malawi bendera ya kwanza ya chama cha siasa unayoiona unapovuka boda tu ni bendera ya Chadema , hii ndio bendera ya mwisho ya chama unayoweza kuiona pale boda kabla hujavuka kwenda Malawi .
Kwa wasifu huu mzito natoa wito kwa viongozi wa CHADEMA kanda ya Nyasa akiwemo Mchungaji Msigwa kuhakikisha kwamba ratiba ya "Mfufuka" Lissu inajumuisha jimbo la Kyela , kuna wadhamini wasio na idadi wanamsubiri .
Mungu ibariki Chadema
mkuu kwani lissu kafika iringa bahada ya kutoka tanga ,?kimbunga 2020
AminaLissu alpina risasi mwilini 16 na zilizomkosa takribani 16 zingine.
Hii ni maajabu kabisa, viongozi wa dini badalanya kusema huu ni unabii wao wanakusanyika kusifu na kuabudu...
Anyway, maneno ya Yesu Mwenyewe alivyoulinzwa na mwanafunzi wake kwamba Je anaweza kwe.da kumzika babake then arudi...Yesu akamjibu...Waache wafu wawazike wao wao..wewe India katangaze flame wa Mungu...
Lissu, I stand for you...!! Hakuna wa kukuzuia nchi hii ji yako.
Kama kesi wanaongea risasi majanga mguu wanakufa, kwa nini wewe upone na risasi 16 mwilini kwako.?
Ni maono na wewe ubebebabunabii...mbaya zaidi baadhi ya wazee wa dini wanakudhihaki ...hawajui kwamba umesema unabii...
Sauti ya Mungu hakuna wa kuipinga!!
Naona mkono wa bwana ukisismama juu yako kwa ajili ya taifa la Tanzania.
Bakwata ni taasisi ya ccm , ilanzishwa na Nyerere kwa kushirikiana na Paul BomaniViongozi wa dini wa Tanzania hawajitambui
Karibu sana Kyela , kwa dharula nimepanga hapa BIKUTUKA GUEST HOUSELeo nip tukuyu maeneo ya langboz tutakuwa pamoja mkuu