IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,578
- 7,774
Mimi niko Ngonga -siondoki mpaka kieleweke.
Leo nip tukuyu maeneo ya langboz tutakuwa pamoja mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nip tukuyu maeneo ya langboz tutakuwa pamoja mkuu
Umati huu unahitaji ukombozi...na saa ya ukombozi ni SASA!! RIP Mchungaji, hukuweza kumaliza kazi... Lissu anakwenda kuimalizia on behalf.
Hakika"Mfufuka"😅😅
Nipo Sativa Kyela !! Tunamsubiri SanaKyela ndio mwanzo wa nchi yetu kutokea Malawi na ndio mwisho wa Nchi hii ukitokea Dar es Salaam , unapotokea Malawi bendera ya kwanza ya chama cha siasa unayoiona unapovuka boda tu ni bendera ya Chadema , hii ndio bendera ya mwisho ya chama unayoweza kuiona pale boda kabla hujavuka kwenda Malawi .
Kwa wasifu huu mzito natoa wito kwa viongozi wa CHADEMA kanda ya Nyasa akiwemo Mchungaji Msigwa kuhakikisha kwamba ratiba ya "Mfufuka" Lissu inajumuisha jimbo la Kyela , kuna wadhamini wasio na idadi wanamsubiri .
Mungu ibariki Chadema
safi sanaNipo Sativa Kyela !! Tunamsubiri Sana
Ni Yeye !Mkimdhamini mmpigie na kuara, maana udhamini hautamfanya kuwa rais.
Hapo Kuna wajasiriamali Kama yeyeNi Yeye !
HayaHapo Kuna wajasiriamali Kama yeye
Mshana nakukubali sana naona unapenda haki kama mimi
[emoji1545][emoji1548][emoji1534]Mshana nakukubali sana naona unapenda haki kama mimi
Haki ndio msingi imara wa amaniMshana nakukubali sana naona unapenda haki kama mimi