Leo nip tukuyu maeneo ya langboz tutakuwa pamoja mkuu
Umati huu unahitaji ukombozi...na saa ya ukombozi ni SASA!! RIP Mchungaji, hukuweza kumaliza kazi... Lissu anakwenda kuimalizia on behalf.
Hakika"Mfufuka"😅😅
Nipo Sativa Kyela !! Tunamsubiri SanaKyela ndio mwanzo wa nchi yetu kutokea Malawi na ndio mwisho wa Nchi hii ukitokea Dar es Salaam , unapotokea Malawi bendera ya kwanza ya chama cha siasa unayoiona unapovuka boda tu ni bendera ya Chadema , hii ndio bendera ya mwisho ya chama unayoweza kuiona pale boda kabla hujavuka kwenda Malawi .
Kwa wasifu huu mzito natoa wito kwa viongozi wa CHADEMA kanda ya Nyasa akiwemo Mchungaji Msigwa kuhakikisha kwamba ratiba ya "Mfufuka" Lissu inajumuisha jimbo la Kyela , kuna wadhamini wasio na idadi wanamsubiri .
Mungu ibariki Chadema
safi sanaNipo Sativa Kyela !! Tunamsubiri Sana
Ni Yeye !Mkimdhamini mmpigie na kuara, maana udhamini hautamfanya kuwa rais.
Hapo Kuna wajasiriamali Kama yeyeNi Yeye !
HayaHapo Kuna wajasiriamali Kama yeye
Mshana nakukubali sana naona unapenda haki kama mimi
[emoji1545][emoji1548][emoji1534]Mshana nakukubali sana naona unapenda haki kama mimi
Haki ndio msingi imara wa amaniMshana nakukubali sana naona unapenda haki kama mimi