CHADEMA Kyela yaanzisha kampeni ya kumuokoa Mwanachama wake aliyefungwa kwa kesi ya kuchoma nyumba ya Mwana-CCM

CHADEMA Kyela yaanzisha kampeni ya kumuokoa Mwanachama wake aliyefungwa kwa kesi ya kuchoma nyumba ya Mwana-CCM

Hakimu gani mpuuzi huyo. Erythrocyte if possible tuwekee hukumu hapa tuidadavue.
Yuko pamoja kwa kila kitu. Ataachiwa tu huko appeal courts
Tatizo hukumu za kisiasa siku hizi zina andikwa na watu tofauti na walio sikiliza kesi.
Mahakimu na majaji kazi yao ni kusoma hukumu tuu
 
Kwa nini aliichoma?Tuondoe vyama vyao,je watu wangekuwemo ndani?Acha afungwe kubabake
Uhakika kuwa alichoma unao ? Mambosasa na kundi lake walimuua Akwilina lakini wakafungwa akina Mbowe , ni kweli kwamba Mbowe ndio alimuua Akwilina ?
 
Siasa za kyela ni mbaya Sana,siasa zao nizachuki kali.yaani kule ndg wanaweza wakauana kisa utofauti wa itikadi,si ujinga huo!!
CCM haitakiwi Kyela , lakini Polisi wanalazimisha tu
 
Kamanda Erythrocyte huyo tutakayemtumia George ni ndugu wa Gerald? Msaada please.
Hili suala limekwisha vuka kwenye ngazi ya familia mkuu wangu , hakuna haja ya kutaka wahusike ndugu tu , hii ni namba ya Chama hata kama unaona imesajiliwa kwa jina la mtu
 
Back
Top Bottom