The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ndio inahusianaje na kuchoma nyumba ?Mjinga ni wewe unayefikiria kupiga pesa. Mmezoea kupiga na kupigwa pesa katika mambo yanayohitaji utu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio inahusianaje na kuchoma nyumba ?Mjinga ni wewe unayefikiria kupiga pesa. Mmezoea kupiga na kupigwa pesa katika mambo yanayohitaji utu.
Tatizo hukumu za kisiasa siku hizi zina andikwa na watu tofauti na walio sikiliza kesi.Hakimu gani mpuuzi huyo. Erythrocyte if possible tuwekee hukumu hapa tuidadavue.
Yuko pamoja kwa kila kitu. Ataachiwa tu huko appeal courts
Fanyeni siasa safi. Mnaharibu mali za watu mnakimbilia kujificha kwenye siasa.Ngoja CCM ijenge chuki na visa vijikite mioyoni mwa wanaoonewa, Kuna siku haya mambo yatajibu tu!
Mimi na magufuli ni kitu kimoja🤣Kwa Samia umewaona wapo?
Uhakika kuwa alichoma unao ? Mambosasa na kundi lake walimuua Akwilina lakini wakafungwa akina Mbowe , ni kweli kwamba Mbowe ndio alimuua Akwilina ?Kwa nini aliichoma?Tuondoe vyama vyao,je watu wangekuwemo ndani?Acha afungwe kubabake
CCM haitakiwi Kyela , lakini Polisi wanalazimisha tuSiasa za kyela ni mbaya Sana,siasa zao nizachuki kali.yaani kule ndg wanaweza wakauana kisa utofauti wa itikadi,si ujinga huo!!
Uongo utakusaidia nini wewe ?Fanyeni siasa safi. Mnaharibu mali za watu mnakimbilia kujificha kwenye siasa.
Vipi aliyechomewa nyumba ilikua haki yake kuchomewa?Kupambania haki ni gharama kubwa.
Nacheka mankasasa unalia nini ?
unauhakika gani haitkiwa!!? thibitisha!!CCM haitakiwi Kyela , lakini Polisi wanalazimisha tu
Toa na account vile vile kwa wale wanaotaka kuepuka tozo la viwavi wa cchechemea!
Una uhakika imechomwa na Mwakitalu ?Vipi aliyechomewa nyumba ilikua haki yake kuchomewa?
Vuta subra kidogo tuwasiliane na viongozi wa Chadema KyelaToa na account vile vile kwa wale wanaotaka kuepuka tozo la viwavi wa cchechemea!
Basi ilijichoma yenyewe.Una uhakika imechomwa na Mwakitalu ?
Polisi waachane na siasa. Wanasiasa wawe huru kufanya siasa! jibu litajithibitisha!unauhakika gani haitkiwa!!? thibitisha!!
Nipo kiti cha mbele. Ninachangia. Hongereni makamanda.
Hili suala limekwisha vuka kwenye ngazi ya familia mkuu wangu , hakuna haja ya kutaka wahusike ndugu tu , hii ni namba ya Chama hata kama unaona imesajiliwa kwa jina la mtuKamanda Erythrocyte huyo tutakayemtumia George ni ndugu wa Gerald? Msaada please.