CHADEMA Kyela yaanzisha kampeni ya kumuokoa Mwanachama wake aliyefungwa kwa kesi ya kuchoma nyumba ya Mwana-CCM

CHADEMA Kyela yaanzisha kampeni ya kumuokoa Mwanachama wake aliyefungwa kwa kesi ya kuchoma nyumba ya Mwana-CCM

Hili suala limekwisha vuka kwenye ngazi ya familia mkuu wangu , hakuna haja ya kutaka wahusike ndugu tu , hii ni namba ya Chama hata kama unaona imesajiliwa kwa jina la mtu
Ahsante sana mkuu kwa ufafanuzi, sina shaka kabisa na maelezo yako mkuu.
 
Back
Top Bottom