Pre GE2025 CHADEMA Mara: Mbowe akikataa ushauri tutakutana kwenye Sanduku la Kura, waenda na Lissu na Heche

Pre GE2025 CHADEMA Mara: Mbowe akikataa ushauri tutakutana kwenye Sanduku la Kura, waenda na Lissu na Heche

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 3194411
Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka mkoa wa Mara wamejitokeza hadharani na kueleza msimamo wao kuwa kwenye mchakato wa kinyang'anyiro cha kutafuta viongozi wa Kitaifa wa chama hicho wao wanaenda na Tundu Lissu kwa nafasi ya Mwenyekiti na John Heche kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara,

Mbowe nadhani anapashwa kujitoa muda bado anao kwa busara.
20250103_085515.jpg
 
Bila mbinu za CCM kutumika, awamu hii Mbowe hatoboi
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka mkoa wa Mara wamejitokeza hadharani na kueleza msimamo wao kuwa kwenye mchakato wa kinyang'anyiro cha kutafuta viongozi wa Kitaifa wa chama hicho wao wanaenda na Tundu Lissu kwa nafasi ya Mwenyekiti na John Heche kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
View attachment 3194181

Pia, Soma:
Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA

BAWACHA Mbeya wamuunga mkono Lissu
Safi sana
 
Back
Top Bottom