Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
Ndivyo alivyoWapo watakao kuja kusema Mbowe ni Ayatollah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo alivyoWapo watakao kuja kusema Mbowe ni Ayatollah
View attachment 3194411
Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka mkoa wa Mara wamejitokeza hadharani na kueleza msimamo wao kuwa kwenye mchakato wa kinyang'anyiro cha kutafuta viongozi wa Kitaifa wa chama hicho wao wanaenda na Tundu Lissu kwa nafasi ya Mwenyekiti na John Heche kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara,
Mbowe nadhani anapashwa kujitoa muda bado anao kwa busara.
Safi sanaChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka mkoa wa Mara wamejitokeza hadharani na kueleza msimamo wao kuwa kwenye mchakato wa kinyang'anyiro cha kutafuta viongozi wa Kitaifa wa chama hicho wao wanaenda na Tundu Lissu kwa nafasi ya Mwenyekiti na John Heche kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara
View attachment 3194181
Pia, Soma:
• Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA
• BAWACHA Mbeya wamuunga mkono Lissu