Mwanasesere😄😄hivi bi, Chokochoko amevunja rekodi ya Mwendawazimu kua na majina mengi au bado😄😄😄 “special tour guide “ wa kizanzibari mwana makunduchi, macho mlegezo.. sauti nyororo…. 😄😄Hangaya anayo ?
Safi sana chama la waty wenye akili.Kwanza Kabisa nichukue muda kidogo kumshukuru Mwenyezi Mungu , mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuamka salama , sema Amina .
Baada ya utangulizi huo wa kiroho nafurahi kukufahamisha kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo 14/9/2021 kitafanya Mkutano wake na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za makao makuu yake , Kinondoni mtaa wa Ufipa , Nje ya Jiji la DSM , Kuanzia saa 6 kamili mchana .
Wote mnakaribishwa huku mkiombwa kufuata sheria za dunia za kujikinga na Corona
View attachment 1936970
Unateseka ukiwa wapi?Duh.....kila siku!
Mtwivila.Unateseka ukiwa wapi?
Chadema ni chama cha woteHii habari kama haikuletwa na mleta taarifa maalum wa chama, dada yetu na mwana JF mwenzetu Erythrocyte basi itakuwa ni batili (fake news)
NakusomaYaliyojiri tafadhali
Mkuu Mwl endelea kutupia mambo , uzi ni wetu sote
Kama MIKUTANO MMEWAZUIA hiyo ndio NjiaDuh.....kila siku!
Mwanasesere mkubwa wewe🤣🤣Mtwivila.
Bonge la Pointi. Tusiwanyamanzie hawa magaidi. Rwanda si mahali pa kujifunzia jambo??
Bado?!Kwanza Kabisa nichukue muda kidogo kumshukuru Mwenyezi Mungu , mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuamka salama , sema Amina .
Baada ya utangulizi huo wa kiroho nafurahi kukufahamisha kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo 14/9/2021 kitafanya Mkutano wake na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za makao makuu yake , Kinondoni mtaa wa Ufipa , Nje ya Jiji la DSM , Kuanzia saa 6 kamili mchana .
Wote mnakaribishwa huku mkiombwa kufuata sheria za dunia za kujikinga na Corona
View attachment 1936970
Huu ni mtizamo wako na kamwe siwezi kuupinga. Ndio demokrasia hiyo!Chadema ni chama cha wote
Hivi unaakili kweli wewe? Umesahau kwamba Mbowe yupo mahabusu kwa kesi za kusingiziwa? Na umesahau kwamba Lissu alipigwa lisasi za kutosha na hakuna pelelezi wowote uliowahi kufanywa?Inakuwaje chama bila Mwenyekiti wala Makamu wake?!
inamaana Chadema ni kampuni ya Mbowe?!
aise!! hapo tumeliwa!
ifike mahali uongozi uliopo uwaeleze wananchama hatma ya chama kwa sasa bila mwenyekiti wala Makamu kama kweli Chadema ni chama cha wananchi na sio mali ya kikundi cha watu wachache!!
Hizi Press za CHADEMA tumeshazichoka sasa kwani wanataka kuwa kama Klabu ya Yanga vile.Kwanza Kabisa nichukue muda kidogo kumshukuru Mwenyezi Mungu , mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuamka salama , sema Amina .
Baada ya utangulizi huo wa kiroho nafurahi kukufahamisha kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo 14/9/2021 kitafanya Mkutano wake na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za makao makuu yake , Kinondoni mtaa wa Ufipa , Nje ya Jiji la DSM , Kuanzia saa 6 kamili mchana .
Wote mnakaribishwa huku mkiombwa kufuata sheria za dunia za kujikinga na Corona
View attachment 1936970
Aiiiseeeeee!Bonge la Pointi. Tusiwanyamanzie hawa magaidi. Rwanda si mahali pa kujifunzia jambo??
Nenda wewe kawe mwenyekiti dada,mbona unatoa povu hadi kwenye mbususu.Inakuwaje chama bila Mwenyekiti wala Makamu wake?!
inamaana Chadema ni kampuni ya Mbowe?!
aise!! hapo tumeliwa!
ifike mahali uongozi uliopo uwaeleze wananchama hatma ya chama kwa sasa bila mwenyekiti wala Makamu kama kweli Chadema ni chama cha wananchi na sio mali ya kikundi cha watu wachache!!
Yaonekana mnapokutana kwenye wiki ya zamu ya kufagia na kumwagilia maua kule malaloni Burigi, huwa mnapata na 'walwa' mwingi.Inakuwaje chama bila Mwenyekiti wala Makamu wake?!
inamaana Chadema ni kampuni ya Mbowe?!
aise!! hapo tumeliwa!
ifike mahali uongozi uliopo uwaeleze wananchama hatma ya chama kwa sasa bila mwenyekiti wala Makamu kama kweli Chadema ni chama cha wananchi na sio mali ya kikundi cha watu wachache!!