CHADEMA: Matamanio ya IGP Sirro anayosema amejifunza Rwanda kuhusu Polisi kuingia Misikitini na Makanisani na kuandaa mitaala ni kinyume na Katiba

CHADEMA: Matamanio ya IGP Sirro anayosema amejifunza Rwanda kuhusu Polisi kuingia Misikitini na Makanisani na kuandaa mitaala ni kinyume na Katiba

Hangaya anayo ?
Mwanasesere😄😄hivi bi, Chokochoko amevunja rekodi ya Mwendawazimu kua na majina mengi au bado😄😄😄 “special tour guide “ wa kizanzibari mwana makunduchi, macho mlegezo.. sauti nyororo…. 😄😄
 
Kwanza Kabisa nichukue muda kidogo kumshukuru Mwenyezi Mungu , mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuamka salama , sema Amina .

Baada ya utangulizi huo wa kiroho nafurahi kukufahamisha kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo 14/9/2021 kitafanya Mkutano wake na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za makao makuu yake , Kinondoni mtaa wa Ufipa , Nje ya Jiji la DSM , Kuanzia saa 6 kamili mchana .

Wote mnakaribishwa huku mkiombwa kufuata sheria za dunia za kujikinga na Corona

View attachment 1936970
Safi sana chama la waty wenye akili.

Kile kinginr cha paralee steti kimejaza majambazi tu
 
1631611472143.png

1631611429392.png





 
Hii habari kama haikuletwa na mleta taarifa maalum wa chama, dada yetu na mwana JF mwenzetu Erythrocyte basi itakuwa ni batili (fake news)
 
Kwanza Kabisa nichukue muda kidogo kumshukuru Mwenyezi Mungu , mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuamka salama , sema Amina .

Baada ya utangulizi huo wa kiroho nafurahi kukufahamisha kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo 14/9/2021 kitafanya Mkutano wake na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za makao makuu yake , Kinondoni mtaa wa Ufipa , Nje ya Jiji la DSM , Kuanzia saa 6 kamili mchana .

Wote mnakaribishwa huku mkiombwa kufuata sheria za dunia za kujikinga na Corona

View attachment 1936970
Bado?!
 
Inakuwaje chama bila Mwenyekiti wala Makamu wake?!
inamaana Chadema ni kampuni ya Mbowe?!
aise!! hapo tumeliwa!
ifike mahali uongozi uliopo uwaeleze wananchama hatma ya chama kwa sasa bila mwenyekiti wala Makamu kama kweli Chadema ni chama cha wananchi na sio mali ya kikundi cha watu wachache!!
Hivi unaakili kweli wewe? Umesahau kwamba Mbowe yupo mahabusu kwa kesi za kusingiziwa? Na umesahau kwamba Lissu alipigwa lisasi za kutosha na hakuna pelelezi wowote uliowahi kufanywa?
 
Kwanza Kabisa nichukue muda kidogo kumshukuru Mwenyezi Mungu , mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuamka salama , sema Amina .

Baada ya utangulizi huo wa kiroho nafurahi kukufahamisha kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo 14/9/2021 kitafanya Mkutano wake na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za makao makuu yake , Kinondoni mtaa wa Ufipa , Nje ya Jiji la DSM , Kuanzia saa 6 kamili mchana .

Wote mnakaribishwa huku mkiombwa kufuata sheria za dunia za kujikinga na Corona

View attachment 1936970
Hizi Press za CHADEMA tumeshazichoka sasa kwani wanataka kuwa kama Klabu ya Yanga vile.
 
Inakuwaje chama bila Mwenyekiti wala Makamu wake?!
inamaana Chadema ni kampuni ya Mbowe?!
aise!! hapo tumeliwa!
ifike mahali uongozi uliopo uwaeleze wananchama hatma ya chama kwa sasa bila mwenyekiti wala Makamu kama kweli Chadema ni chama cha wananchi na sio mali ya kikundi cha watu wachache!!
Nenda wewe kawe mwenyekiti dada,mbona unatoa povu hadi kwenye mbususu.
 
Inakuwaje chama bila Mwenyekiti wala Makamu wake?!
inamaana Chadema ni kampuni ya Mbowe?!
aise!! hapo tumeliwa!
ifike mahali uongozi uliopo uwaeleze wananchama hatma ya chama kwa sasa bila mwenyekiti wala Makamu kama kweli Chadema ni chama cha wananchi na sio mali ya kikundi cha watu wachache!!
Yaonekana mnapokutana kwenye wiki ya zamu ya kufagia na kumwagilia maua kule malaloni Burigi, huwa mnapata na 'walwa' mwingi.
 
Back
Top Bottom