Pre GE2025 CHADEMA Mbeya Mjini, Tafuteni Mgombea Mwingine

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema ndio watafute mgombea,Mbeya tuna vipaombele vyetu , Bandari waulize watu wa Pwanai kama imehamishwa au vinginevyo
 
Kwa uchaguzi gani ulioko hapa Tanzania, iwe sugu ama mgombea mwingine wa cdm, Tulia atatangazwa mshindi kwa nguvu ya vyombo vya dola. Sana sana wanaMbeya wakikaza wataishia kuuwawa, wengine wataachwa na vilema vya maisha, na wengine kubambikiwa kesi.
Ufedhuli wa 2020 hauwezi kurudiwa tena. Consciousness ya wapiga kura imeongezeka na wapiga kura wanauwezo wa kulinda kura zao
 
Hawa wote wawili ni chupa na mfuniko. Ila wapambe wa kila mmoja huwaambii kitu juu ya wagombea wao.

Siasa za ushabiki zitaigharimu Mbeya
 
Vijana ndio tunaliangusha taifa hili hatupigi kura mwisho wa siku mnawaachia wazee ndio wanaenda piga kura... Huwezi tegemea miujiza hapo
 
Mw
Endazake alisema wazi bila kumung'unya kuwa majimbo yote yenye wabunge wa upinzani hayatapata pesa za maendekeo, ulitegemea Sugu apate wapi pesa hizo!
 
Ufedhuli wa 2020 hauwezi kurudiwa tena. Consciousness ya wapiga kura imeongezeka na wapiga kura wanauwezo wa kulinda kura zao
Hakuna uwezekano wa ccm kukubali kushindwa tena, iwapo wanajua mbinu ile ilifanikiwa, kwani mazingira ni yaleyale, na utekaji sasa umerudi upya kama enzi za dhalimu magu.
 
Kwa uchaguzi gani ulioko hapa Tanzania, iwe sugu ama mgombea mwingine wa cdm, Tulia atatangazwa mshindi kwa nguvu ya vyombo vya dola. Sana sana wanaMbeya wakikaza wataishia kuuwawa, wengine wataachwa na vilema vya maisha, na wengine kubambikiwa kesi.
Sugu Uchaguzi wa mwisho akiwa mbunge,alikuwa the most voted member of the parliament.

Alimpiga gap mpinzani wake kwa kura 60,000.

Kunapokuwa na gap kubwa baina ya wagombea ni ngumu sana kuchakachua ile ulijue.

Ila range ya kura 3500 zinachakaculiwa vizuri ndani ya vituo vya kata Mbili.

Kwa upepo ulivyo TULIA atapigwa gap la kura 35,0000 hivi.

Na utaratibu kura zikipigwa na kuhesabiwa matokeo yanabandikwa vituoni, kwahiyo kila mtu ana uwezo wa kujua matokeo ya ubunge kabla ya tume kutangaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…