Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Vuta bangi ukishushia na Konyagi.Muda utaongea. Asante!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vuta bangi ukishushia na Konyagi.Muda utaongea. Asante!
Labda mbunge wenu wa Geita anayoipigia chapuo ihalalishweVuta bangi ukishushia na Konyagi.
Ayubu ana siri kubwa kaa kimya mpumbavu wewe.Labda mbunge wenu wa Geita anayoipigia chapuo ihalalishwe
Mbona kama umechanganyikiwa ndugu??? Kuna shida????Ayubu ana siri kubwa kaa kimya mpumbavu wewe.
Ccm inapendwa naMtaa wa ufipa? Au nyumbani kwa Joyce Mukya mkinywa Konyagi na kuvuta bangi?
Kwani mama yako yupo kundi gani?Ccm inapendwa na
1. Wajinga
2.wavivu
3.wachawi
We upo kundi gani?
kwenye nafasi ya publicity wangemuondoa huyo jamaa anayeitwa Tumaini Makene na badala yake angewekwa Godlisten Malisa au hata Yericko Nyerere .CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu?
Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored
Acheni upuuzi bana, ala!
We changu....a umeona mziki wa seif huko zenj?Kwani mama yako yupo kundi gani?
Hakuna shida we mvuta bangi. Namaanisha Spika Ayubu ana siri kubwa, maana wabunge wa chadema walikuwa wanaenda bungeni wamekunywa pombe kali na kuvuta bangi. Wengine waliooana wa jinsia moja. Tafakari ili uachane na upumbavu.Mbona kama umechanganyikiwa ndugu??? Kuna shida????
changu baba yakoWe changu....a umeona mziki wa seif huko zenj?
Mie mvuta bangi tena?? Mbona unaongea kama umechanganyikiwa ??? Ni spana za Lissu nini?Hakuna shida we mvuta bangi. Namaanisha Spika Ayubu ana siri kubwa, maana wabunge wa walikuwa wanaenda bungeni wamekunywa pombe kali na kuvuta bangi. Wengine waliooana wa jinsia moja. Tafakari ili uachane na upumbavu.
Ahaaa. Bangi zinawasumbua.Mie mvuta bangi tena?? Mbona unaongea kama umechanganyikiwa ??? Ni spana za Lissu nini?
Mbona umechanganyikiwa Changu....a, ccm mna madaraka lakini hamna furahaAhaaa. Bangi zinawasumbua.
Au na wewe ni mmoja wa wabunge ambao Ayubu alikuwa anawafichia siri?Mie mvuta bangi tena?? Mbona unaongea kama umechanganyikiwa ??? Ni spana za Lissu nini?
Uwe na siku njema nduguAu na wewe ni mmoja wa wabunge ambao Ayubu alikuwa anawafichia siri?
Nani kakuambia mbaya?Uwe na siku njema ndugu
cc: Tumaini MakeneCHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu?
Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored
Acheni upuuzi bana, ala!
Pumbavu zako, kakojoe ulale...mlitaka kumwua Mungu akamfufua, now it is time For you to pay the price, pumbavu wauaji nyie!Mteule aliyeshinda mauti? Alikufa akafufuka? Hapati hata kura 50000 kwa hii kufuru uliyofanya.