CHADEMA Media nawaona kama mnapwaya mno

CHADEMA Media nawaona kama mnapwaya mno

HUU NI WAKATI NALO FUMBO LA MUNGU LAJIDHIHIRISHA KWETU
Yakobo : Mlango 3
14 Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu, wala msiseme uongo juu ya kweli.


Yeremia : Mlango 23
38 Lakini mkisema, Mzigo wa BWANA, basi, BWANA asema hivi, Kwa sababu mwasema neno hili, ?Mzigo wa BWANA?; nami nimemtuma mtu kwenu kusema, Msiseme, ?Mzigo wa BWANA?;


Isaya : Mlango 8
12 Msiseme, Ni fitina, katika habari za mambo yote ambayo watu hawa watasema, Ni fitina; msihofu kwa hofu yao, wala msiogope.
 
kwenye nafasi ya publicity wangemuondoa huyo jamaa anayeitwa Tumaini Makene na badala yake angewekwa Godlisten Malisa au hata Yericko Nyerere .
ama vipi jukumu lihamishiwe kwa John Mrema ambaye kwa kweli anajitahidi sana kuwa active, so si vibaya kumuongezea jukumu hili pia kwa wakati huu muhimu.
kwa kweli huyo Makene wao amepwaya sana kwa level ambayo chama kinahitajika ku operate at.

hata sisi tulioko CCM tumechoka sana chini ya awamu hii - so, tunamani sana chama serious cha upinzani kichukue dola ili nchi irudi kwenye misingi bila kuharibu focus ya maendeleo katika nyanja zote (macro & micro).

CC: CHADEMA John Mnyika Chadema Diaspora

Hamna majina mengine hapo cdm, hayo uliyotaja ni yaleyale.
 
CHADEMA Media mmezubaa mno, hivi inakuwaje mnashindwa kufanya Livestreaming ya matukio ya Mgombea wetu hadi tunaanza kubambiabambia platforms zingine ambazo zinafanya censorship kubwa sana katika kureport matukio ya Kipenzi chetu, Mteule aliyeyashinda mauti Tundu Antiphas Lissu?

Yaani mnazubaa mno kiasi mnasubiri kurepost video clips za Azam au Mwananchi Digital ambazo ni biased and censored

Acheni upuuzi bana, ala!
Kwa kweli wanapaswa kujirekebisha...
 
kwenye nafasi ya publicity wangemuondoa huyo jamaa anayeitwa Tumaini Makene na badala yake angewekwa Godlisten Malisa au hata Yericko Nyerere .
ama vipi jukumu lihamishiwe kwa John Mrema ambaye kwa kweli anajitahidi sana kuwa active, so si vibaya kumuongezea jukumu hili pia kwa wakati huu muhimu.
kwa kweli huyo Makene wao amepwaya sana kwa level ambayo chama kinahitajika ku operate at.

hata sisi tulioko CCM tumechoka sana chini ya awamu hii - so, tunamani sana chama serious cha upinzani kichukue dola ili nchi irudi kwenye misingi bila kuharibu focus ya maendeleo katika nyanja zote (macro & micro).

CC: CHADEMA John Mnyika Chadema Diaspora
Toka kifo cha Mohamed Mtoi Chadema Media ikafa rasmi huyo Tumaini Makene sijui kazi yake nini.

Mpuuzi sana yule jamaa
 
Toka kifo cha Mohamed Mtoi Chadema Media ikafa rasmi huyo Tumaini Makene sijui kazi yake nini.

Mpuuzi sana yule jamaa
Makene, ndio maana yule mkewe alimkimbia na kumuachia msala wa nyumba walio kua wamepanga kule kawe [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Makene, ndio maana yule mkewe alimkimbia na kumuachia msala wa nyumba walio kua wamepanga kule kawe [emoji16][emoji16][emoji16]
Yule jamaa yupo yupo tu kwenye kile kitengo kimepoa utafikiri siyo chama kikubwa.

Wakati Mohamed Mtoi yupo hai huyu jamaa alikuwa hagusi hata kwenye media sijui aliwekwa kufanya nini

Kuna vijana wako active sana kina Godlisten Malisa huyu Makene anafanya nini hapo ?
 
Yule jamaa yupo yupo tu kwenye kile kitengo kimepoa utafikiri siyo chama kikubwa.

Wakati Mohamed Mtoi yupo hai huyu jamaa alikuwa hagusi hata kwenye media sijui aliwekwa kufanya nini

Kuna vijana wako active sana kina Godlisten Malisa huyu Makene anafanya nini hapo ?
Kuna watu wako pale makao makuuu, kujaza nafasi tuuu. Cdm Ina vijana wengi smart sijui kwanini hapewi nafasi. ? .

Hadi act Ina ishinda cdm kwenye mambo ya social media. Fikiria hadi sasa chadema tv hawaja upload video ya nzima ya tukio la leo kule singida.

Kwamba hadi darmpya wamesha upload wao bado wame lala! !!
 
Hamna mtu wa kufanya kazi halafu mwisho wa mwezi aishie kuambiwa tu "tunakushukuru sana kamanda, ukombozi unakuja". Lipeni watu wafanye kazi ukombozi unaanzia mfukoni
 
Kuna watu wako pale makao makuuu, kujaza nafasi tuuu. Cdm Ina vijana wengi smart sijui kwanini hapewi nafasi. ? .

Hadi act Ina ishinda cdm kwenye mambo ya social media. Fikiria hadi sasa chadema tv hawaja upload video ya nzima ya tukio la leo kule singida.

Kwamba hadi darmpya wamesha upload wao bado wame lala! !!
Makene anafanya kazi kama amateur sijui tatizo ni nini ?
 
Hamna mtu wa kufanya kazi halafu mwisho wa mwezi aishie kuambiwa tu "tunakushukuru sana kamanda, ukombozi unakuja". Lipeni watu wafanye kazi ukombozi unaanzia mfukoni
Sasa si waache kama hawalipwi. ?
 
Walipeni watu wapige mzigo. Katibu tu wa chadema jiji la dar hapati hata mia
 
Back
Top Bottom