LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Mimi sio mshabiki Wa chama chochote, Ila namkubali lissu kwa uzalendo wake kwa taifa letu.asipopitishwa kugombea urais sipigi kura.Jpm amesaliti umoja Wa taifa letu kwa kuendekeza uvyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavyolialia tu ni utambulisho tosha!wewe mimi unanifahamu?
Maneno hayo nenda kamwambie Nassari,Silinde,Yule Mayor wa Arusha ndio wanaelewa vzr hahahah.Chadema hawana wanachama bali washabiki wanaoangalia upepo unaenda wapi sifa yao kubwa ni kumfata mtu wala sio sera hivyo sitakushangaa ukichana kadi
Sio rais wa mioyo yenu LowassaManeno hayo nenda kamwambie Nassari,Silinde,Yule Mayor wa Arusha ndio wanaelewa vzr hahahah.
Hahah.Sio rais wa mioyo yenu Lowassa
Ukweli huanza hivi, baadae uongo hutawala,mwisho mnapoteana!!Tupo wengi mkuu. Waache wajichanganye waone
Unamkubali Lissu kwa kuwa alijeruhiwa au kwa kuwa ana hekima na busara?Mimi sio mshabiki Wa chama chochote, Ila namkubali lissu kwa uzalendo wake kwa taifa letu.asipopitishwa kugombea urais sipigi kura.Jpm amesaliti umoja Wa taifa letu kwa kuendekeza uvyama
mkuu nimekuelewa sana but chadema wako makin sana lissu ndo ajae mfano wanawezaje kumkataa , ,nyandu anafaa but bado kwa kipindi hichi , nyarandu bado ana useminari sana asubiri kidogo wakati wake ukifikaMwaka 2015 mlipomsimamisha Edo, tuliwaacha tukijua jamaa anaushawishi sana, kiukweli niliipigia kura chadema kwanzia udiwani ubunge mpaka Uraiasi,
natoa taarifa sio ombi, msipomsimamisha Lisu nachana kadi yangu yangu ya CHADEMA na sitakua mwanachama tena wa CHAMA CHENU. na siko peke yangu tupo hapa wanachama nane tunasubiri kuchana!
Hatutaki kusikia chochote wala fyokofyoko yoyote
Kwaleo naishia hapo! nangoja maamuzi ya kamati kuu na mimi nifanye maamuzi ya kamati yangu
Magufuli anaombea chadema wajichanganye wamteue nyalandu ili afanye kampeni bila pressure’ yeyoteTupo wengi mkuu. Waache wajichanganye waone
Ni mzalendo Wa kweliUnamkubali Lissu kwa kuwa alijeruhiwa au kwa kuwa ana hekima na busara?
😆😆😆chaumaMkuu achana nao chadema hao tupigie chauma tuwang'oe ccm.
Mwaka 2015 mlipomsimamisha Edo, tuliwaacha tukijua jamaa anaushawishi sana, kiukweli niliipigia kura chadema kwanzia udiwani ubunge mpaka Uraiasi,
Natoa taarifa sio ombi, msipomsimamisha Lisu nachana kadi yangu yangu ya CHADEMA na sitakua mwanachama tena wa CHAMA CHENU. na siko peke yangu tupo hapa wanachama nane tunasubiri kuchana!
Hatutaki kusikia chochote wala fyokofyoko yoyote
Kwaleo naishia hapo! Nangoja maamuzi ya kamati kuu na mimi nifanye maamuzi ya kamati yangu