CHADEMA mlimuita Jakaya Kikwete dhaifu, kulikoni tena leo mnamuhitaji?

CHADEMA mlimuita Jakaya Kikwete dhaifu, kulikoni tena leo mnamuhitaji?

Huna akili,kwahiyo kila aliyekuwa mbunge wa CDM akitoka na maoni yake basi ni maoni ya CDM?
Maoni ya Gwajima na Polepole ni maoni ya CCM?
Jitambue!
CCM wanawakana. Chadema mliwakana akina sugu na Mnyika?
 
Na kikao kikafanyika kuwa mnyika apotezwe... JAKAYA ALIVYOJUA HILO,Akamwambia Nape je kweli mm dhaifu Nape kajibu hapana.. jk aakasema Basi MWACHEN kijana akuze jina kisiasa.ila hakikisha unazunguka Tanzania nzima kuonyesha madaraja,shule na mengineyo...siasa za hoja ndo zinahitajika
Nakumbuka John Mnyika, wakati wa utawala wa JK aliitisha mkutano na waandishi wa habari anawambia kuwa Tanzania imepata Rais dhaifu kuliko wakati wowote ule, walishindwa kuweka akiba ya maneno.
 
Unaekewa tofauti ya udhaifu na busara?
Ukiambiwa mwiliwako hauna nguvu, iliuonyeshe kuwa unanguvu unaanza kupiga watu? Kumbe madakitari walikuwa na maana ya nguvu za kuhimili dawa fulani kwenye figo zako. Na hapo ndo utajionyesha kuwa zwazwa.
 
Ukweli mchungu, mzee kikwete ana haki ya kusema kwamba acha tukome, sabb ni ukweli usopingika ktk utawala wake ndo kipindi upinzan ulistawi mnooo, lakin huyu mzee alitukanwa mnooo, hadi alitukaniwa wazaz wake, 2015 siku ya mwisho ya kampen huyu mzee hadi alidondosha machoz akisema, mmeniita mi dhaifu sina maamuzi haya sasa nawaletea mkali na mwenye maamuzi, na kweli ikawa, so acha tupete tu ktk madhila tunopitia na mzee kikwete asitie huruma yake kwetu ili tujifunze kwamba uongoz bora ni wa kidplomasi ambao ndo alokuwa kaubeba jk
 
Wanaukumbi.

Chadema kulikoni tena Mzee JK amekuwa siyo dhaifu amekuwa na busara wakati alipokuwa madarakani mlimbeza kuwa ni dhaifu na kumpa majina lukuki ya kejeli. Mpaka mlianzisha harakati za kumpeleka Mahakama za Kimataifa kumshtaki leo hii mnamuhitaji daaah siasa hizi.

View attachment 1895277

View attachment 1895281
Siku hizi Katibu umekua na hoja dhaifu sana, si ndio nyie mlisema tujifunze ku-appreciate? Sasa Jogwe kasema hivyo nayo imekua kesi? Mbona hamna jema nyie Walimwengu?
 
Nakumbuka John Mnyika, wakati wa utawala wa JK aliitisha mkutano na waandishi wa habari anawambia kuwa Tanzania imepata Rais dhaifu kuliko wakati wowote ule, walishindwa kuweka akiba ya maneno.
Aliitisha ukumbi gani? Acha uzwazwa
 
Na kikao kikafanyika kuwa mnyika apotezwe... JAKAYA ALIVYOJUA HILO,Akamwambia Nape je kweli mm dhaifu Nape kajibu hapana.. jk aakasema Basi MWACHEN kijana akuze jina kisiasa.ila hakikisha unazunguka Tanzania nzima kuonyesha madaraja,shule na mengineyo...siasa za hoja ndo zinahitajika
Hekima za Jk mzee wa Msoga.
 
CCM mnajidanganya sana yaani ni hivi - Katiba mpya ni lazima !!
 
CCM wanawakana. Chadema mliwakana akina sugu na Mnyika?
Kwani Sugu amesema ametumwa na Chama?Yaani mtu aandike maoni yake halafu iwe kazi ya chama kukaa vikao na kukana,akili za wapi?
 
Na kikao kikafanyika kuwa mnyika apotezwe... JAKAYA ALIVYOJUA HILO,Akamwambia Nape je kweli mm dhaifu Nape kajibu hapana.. jk aakasema Basi MWACHEN kijana akuze jina kisiasa.ila hakikisha unazunguka Tanzania nzima kuonyesha madaraja,shule na mengineyo...siasa za hoja ndo zinahitajika
CHADEMA na Wanaharakati wao wakikutana Space wanashikiana akili wanadanganyana tu huu upuuzi aliongea Lema huko Twita.
 
Unahitaji kuwa na Akili ya kama Mwendawazimu vile Kuwaelewa CHADEMA wanataka nini na wana Malengo gani kwa Tanzania.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanamkana Sugu, wanasema hiyo ni kauli yake wao wanakubali anachosema Mbowe tu.
 
Back
Top Bottom