Chadema mmebeba hatima ya watu wengi kuweni makini

Chadema mmebeba hatima ya watu wengi kuweni makini

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
41
Reaction score
49
Uchaguzi ni jambo la kawaida katika nchi inayofata Karina na misingi sheria na Demokrasia. Lakini kinachoonekana kwa chadema sasa siyo uchaguzi ni Vita. Vitisho kuumbuana na mwisho ni kusambaratisha chama
Naomba ni wakumbushe chadema kuwa wamebeba matumaini ya watu wengi. Wa Tanzania wanawaitaji. Kuweni makini tumieni vikao kumaliza tofauti zenu
 
eti mmebeba matumaini ya watu wengi.....au tuielewe kinyume hii kauli.! 😅😁
 
Back
Top Bottom