Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nashauri Mbowe aendelee kuwa mkt.
Bavicha ndo ifumuliwe na viongozi wakanda na Taifa.
JJ Mnyika Aongezewe mtu makini kusaidia mikakati.
Kuondoka MBOWE nafasi ya MKT CDM, Haina tofauti na kung'atuka Kwa NYERERE CCM.
Chama Cha DEMOKRASIA na Maendeleo kitatekwa na KUFISHWA once and for all.
Ameeen.
Kama alimpokea Lowassa, bado kuna kuuzwa zaidi ya hapo? Kwasasa ni muda sahihi Mbowe kupumzika, kafanya makubwa, by he seems to be running out of ideas. Na iwapo ni Mbowe tu anaweza kuwa mwenyekiti huku hakuna improvement, ujue hapo hakuna chama boss.