Chadema mmejiandaa vipi na Serikali yenu ijayo, mda unaenda miaka mitatu sio mingi


Kama alimpokea Lowassa, bado kuna kuuzwa zaidi ya hapo? Kwasasa ni muda sahihi Mbowe kupumzika, kafanya makubwa, by he seems to be running out of ideas. Na iwapo ni Mbowe tu anaweza kuwa mwenyekiti huku hakuna improvement, ujue hapo hakuna chama boss.
 
Mbona Unakuja kuharibu mada tena Lucas.

Kikao Cha CCM kinaendelea Dodoma unaacha kusikia mada zenu, unakimbilia kuwajibu CDM.
 
Jukwaa la moja kwa moja kuliko hili boss?
 
Mbona Unakuja kuharibu mada tena Lucas.

Kikao Cha CCM kinaendelea Dodoma unaacha kusikia mada zenu, unakimbilia kuwajibu CDM.
Uyu ndugu YANGU naye, lucas, ajue Kuna Mambo ambayo yako juu ya fikra za kibinadam, WENDA anzia kwake mpaka viongozi wake, achana na wale wanawategemea, so LUCAS tekeleza ule msemo wa aliekua DC wa IRINGA, Mambo mengine ni siri kubwa za kiroho hutakiwi kuhoji, Mr lucas
 
Hatuwezi kuwaacha mkaendelea kueneza uzushi wenu hapa
Huo ni Undumila kuwili,

Kaa Kwa utulivu kwenye kikao usikilize mkt anavowapamba wale waizi wanaonunua uongozi wa wilaya na mikoa kama vile wanaonunua ngombe na mbuzi mnadani.
 
Huo ni Undumila kuwili,

Kaa Kwa utulivu kwenye kikao usikilize mkt anavowapamba wale waizi wanaonunua uongozi wa wilaya na mikoa kama vile wanaonunua ngombe na mbuzi mnadani.
Sipo kikaoni Mimi nipo nasubiri maamuzi na maazimio ya chama changu ambapo kwa Sasa Ni Kama nchi imesimama kusubiri Taarifa ya CCM, Hadi upinzani wapo bize kusubiri Taarifa ya CCM itakayo tolewa na Ndugu Shaka
 
Sipo kikaoni Mimi nipo nasubiri maamuzi na maazimio ya chama changu ambapo kwa Sasa Ni Kama nchi imesimama kusubiri Taarifa ya CCM, Hadi upinzani wapo bize kusubiri Taarifa ya CCM itakayo tolewa na Ndugu Shaka
Taarifa ipi ya kusimamisha Nchi.

Chama chakavu saiz uongozi unanunuliwa na walanguzi!!!!

Chama ni CDM, ambacho wajumbe wa Kamati kuu wanajigharimia nauli na malazi.

CCM wajumbe wanapelekwa na makundi ya walanguzi na wanaondoka na bahasha zilizotuna RUSHWA.😠😠😠😠
 
Sasa unafikiri nauli kwa wajumbe wa chadema zitatoka wapi wakati pesa zote za michango zinaliwa na viongozi wa makao makuu ya chama wanao kikamua chama Hadi kinabaki mbavu tupu, Mwenyekiti kila uchaguzi anawasilisha madeni chamani ili alipwe malipo yasiyo eleweka , chadema imebaki kama mradi wa mtu binafsi kujipatia kipato kuhudumia familia yake, jiulize pesa za join the chain zipo wapi? Zikikusanywa shilingi ngapi?
 
Chadema hii ya 'viwete' wa akili?? Afadhali makonda agombee urais tu...
 
Anachowakaririsha Shakasa wote mnatiririka hivi Ivo kama manyumbu.
 
Mbowe hatapumzika mpaka pale Mungu atanena vinginevyo, Mbowe ni Kati ya watu wanahitajika Sana kwenye Serikali yao ijayo ya CHADEMA codes za Mungu haziitaji upambe tulia mpaka mda huu CHADEMA Wana kibali na Chata yao , najua hizi serikali Zina kila dawati za ufundi na sio mchezo, ila habari ziwafikie kwamba Chata ya moto ya CHADEMA sio ya kawaida wambie wachange karata watakutana na hili nasema , hii ni nguvu itokayo pale ambapo hata shetani mkuu anapaogoba ,acheni mchezo
 
Sio ya mtaa wa viwavi Kijani😄
Potezeni mda wakati kumeisha kucha mtakumbuka Sana , lini naondoka dunia hii najua, Sasa wewe unaejua kesho bata nikale wapi utashindana na mteule, Kama utani ila ipo siku mtajua hamjui
 

Sio lazima aache siasa, cheo cha mwenyekiti kimemshinda period. Hizo nyingine ni story za alfu Lela ulela.
 
Haya Mambo ni kubwa sana ,wenda uko sahii kimwili ,ila haiwezekani ,hutaki kubali sawa ni haki YAKO toa mawazo
Sio lazima aache siasa, cheo cha mwenyekiti kimemshinda period. Hizo nyingine ni story za alfu Lela ulela.
 
Haya Mambo ni kubwa sana ,wenda uko sahii kimwili ,ila haiwezekani ,hutaki kubali sawa ni haki YAKO toa mawazo
Sio lazima aache siasa, cheo cha mwenyekiti kimemshinda period. Hizo nyingine ni story za alfu Lela ulela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…