Taahira wewe, Kuna maendeleo gani?Maslahi binafsi ni nchi kupata maendeleo. Ndio maana hata wewe unanufaika na maendeleo yanayoletwa na Ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taahira wewe, Kuna maendeleo gani?Maslahi binafsi ni nchi kupata maendeleo. Ndio maana hata wewe unanufaika na maendeleo yanayoletwa na Ccm
Kama huwezi kuona huku macho unayo basi kaa kimya.Taahira wewe, Kuna maendeleo gani?
✌✌✌✌✌
Chadema watakapoanza ndio utajua hujui watakapotokea kuanzia msajili hadi mwenyekiti wa tume ya uchaguzi + washirika wote wa ShetaniKwa siku mbili leo na jana CCM kinaendesha mchakato wa kupata wagombea wa nafasi za ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi.
Na taifa zima limeelekeza macho kwenye huu mchakato ili kujua nani ataibuka kidedea ili aingie kwenye tatu bora kisha kamati za siasa za CCM za wilaya, mikoa na kisha halmashauri kuu kuchagua jina moja ambalo linafaa kwa ajili ya kugombea kiti cha ubunge.
Kwa jana watu wengi masikio na macho yao yalikuwa kwenye matokeo ya jimbo la Kigamboni na huko mshindi wa kwanza ni Dk Ndugulile na wa Pili ni Paul Makonda...
Ahaaa. Naeleza ukweli halisi hamuwezi kufurahia Makonda kushika nafasi ya pili wakati Chadema ipo hoi.Umepanic sana, hebu kunywa hata fanta sukari ikae sawa jazba zipungue ndiyo ufungue thread.
Atapewa kazi nyingine na CcmKilombero,
Aboubakar Assenga amepata kura 368... Peter Lijualikali amepata kura 04 (moja, mbili, tatu, nne)..
Kimsingi baada ya kukabidhiwa kura zake, aliondoka ukumbini akimuacha wakala wake.
Kazi ya kumtukana Mbowe na Chadema haikumlipa. Amepigwa spana nzito Kilombero.
Kwa siku mbili leo na jana CCM kinaendesha mchakato wa kupata wagombea wa nafasi za ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi.
Na taifa zima limeelekeza macho kwenye huu mchakato ili kujua nani ataibuka kidedea ili aingie kwenye tatu bora kisha kamati za siasa za CCM za wilaya, mikoa na kisha halmashauri kuu kuchagua jina moja ambalo linafaa kwa ajili ya kugombea kiti cha ubunge.
Kwa jana watu wengi masikio na macho yao yalikuwa kwenye matokeo ya jimbo la Kigamboni na huko mshindi wa kwanza ni Dk Ndugulile na wa Pili ni Paul Makonda...
Kujifanya unajua kila kitu ni hasara Kwa maisha!Act like a real man.Mchakato waanze mara ngapi? Chadema haina mvuto, hamna mwananchi anafuatilia hata mchakato wao.
Hata wewe unawafuatilia chadema ndo maana unajua nn wanafanya.. asingekuwa unawafuatilia usingejua Kama wanashangilia makonda kuangushwa...acha na sisi bhanaKwa siku mbili leo na jana CCM kinaendesha mchakato wa kupata wagombea wa nafasi za ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi.
Na taifa zima limeelekeza macho kwenye huu mchakato ili kujua nani ataibuka kidedea ili aingie kwenye tatu bora kisha kamati za siasa za CCM za wilaya, mikoa na kisha halmashauri kuu kuchagua jina moja ambalo linafaa kwa ajili ya kugombea kiti cha ubunge...
Unaota ndoto za usiku.Yaani CCM wakimpitisha Bashite tu wajue jimbo linaenda Upinzani wajiandae
Kuingia tatu bora ndio kuangushwa? Mchakato bado. Nafuatilia Chadema ila nina positive thinking.Hata wewe unawafuatilia chadema ndo maana unajua nn wanafanya.. asingekuwa unawafuatilia usingejua Kama wanashangilia makonda kuangushwa...acha na sisi bhana
Acha hasira kamanda.Kujifanya unajua kila kitu ni hasara Kwa maisha!Act like a real man.
Hv nyie majitu ya ccm huwa mnawaza nn, Kama kungekuwa zawadi zinatolewa je mshindi wa kwanza angepata zawadi sawa na mshindi wa Tatu?? Wa kwanza ni was kwanza tuKuingia tatu bora ndio kuangushwa? Mchakato bado. Nafuatilia Chadema ila nina positive thinking.
We unafikiri kwa kutumia makamasi. CCM sio chama cha hovyo hovyo kama Chadema. Kamati za siasa lazima zitoe mapendekezo ya kila jina juu ya uadilifu wake na namna anavyokubalika na wananchi. Maana sio wana Ccm wote wanaopiga kura kupitisha majina.Hv nyie majitu ya ccm huwa mnawaza nn, Kama kungekuwa zawadi zinatolewa je mshindi wa kwanza angepata zawadi sawa na mshindi wa Tatu?? Wa kwanza ni was kwanza tu
Ya CCM yanatuhusu sana maana kuna wasaliti wetu walikuwa huko. Tulitaka kuona mwisho wao kisiasa unavyofikiaKwa siku mbili leo na jana CCM kinaendesha mchakato wa kupata wagombea wa nafasi za ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi.
Na taifa zima limeelekeza macho kwenye huu mchakato ili kujua nani ataibuka kidedea ili aingie kwenye tatu bora kisha kamati za siasa za CCM za wilaya, mikoa na kisha halmashauri kuu kuchagua jina moja ambalo linafaa kwa ajili ya kugombea kiti cha ubunge...
Sawa wamepigwa chini. Mnafaida gani ya kisiasa?ya ccm yanatuhusu sana maana kuna wasaliti wetu walikuwa huko. Tulitaka kuona mwisho wao kisiasa unavyofikia
Sasa we umesikiliza nini? Maana naona sindano imekuingia na October ipo karibu.Tangu uanze kuweweseka yakaribia mwaka.
Ungekuwa na busara ungepause japo kidogo upate muda wa kujifanyia tathmin binafsi.
Maneno yaleyale, ngonjera zilezile, kujiliza vilevile; hata Lijualikali keshaacha baada ya kuona waliokuwa wa kumsikiliza hawapo tena. AMEN
imedhirisha kuwa waliyokuwa wanayahubiri baada ya kwenda ccm ni uongoSawa wamepigwa chini. Mnafaida gani ya kisiasa?