Uchaguzi 2020 CHADEMA mmekosa fikra chanya za kisiasa na mmekosa mwelekeo thabiti wa kisiasa

Uchaguzi 2020 CHADEMA mmekosa fikra chanya za kisiasa na mmekosa mwelekeo thabiti wa kisiasa

Kwa siku mbili leo na jana CCM kinaendesha mchakato wa kupata wagombea wa nafasi za ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi.

Na taifa zima limeelekeza macho kwenye huu mchakato ili kujua nani ataibuka kidedea ili aingie kwenye tatu bora kisha kamati za siasa za CCM za wilaya, mikoa na kisha halmashauri kuu kuchagua jina moja ambalo linafaa kwa ajili ya kugombea kiti cha ubunge...
CHADEMA inawakosesha usingizi kabisa.
 
Hamko kimya,leo usiku kucha ni kelele za kufurahi Makonda kushika nafasi ya pili. Badala ya kushughulika na chama chemu.
Mimi sina chama na sijui hata kura inapigwa vipi lkni nimefurahi kukatwa kwa makonda.
Sikila anaefurahia jambo au kuchukia ni chadema.
 
Kwa siku mbili leo na jana CCM kinaendesha mchakato wa kupata wagombea wa nafasi za ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi.

Na taifa zima limeelekeza macho kwenye huu mchakato ili kujua nani ataibuka kidedea ili aingie kwenye tatu bora kisha kamati za siasa za CCM za wilaya, mikoa na kisha halmashauri kuu kuchagua jina moja ambalo linafaa kwa ajili ya kugombea kiti cha ubunge.

Kwa jana watu wengi masikio na macho yao yalikuwa kwenye matokeo ya jimbo la Kigamboni na huko mshindi wa kwanza ni Dk Ndugulile na wa Pili ni Paul Makonda...
unahangaika sana na hawa jamaa.
 
Back
Top Bottom