CHADEMA inawakosesha usingizi kabisa.Kwa siku mbili leo na jana CCM kinaendesha mchakato wa kupata wagombea wa nafasi za ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi.
Na taifa zima limeelekeza macho kwenye huu mchakato ili kujua nani ataibuka kidedea ili aingie kwenye tatu bora kisha kamati za siasa za CCM za wilaya, mikoa na kisha halmashauri kuu kuchagua jina moja ambalo linafaa kwa ajili ya kugombea kiti cha ubunge...
Mh... Unajipa matumaini?CDM inawakosesha usingizi kabisa.
Mimi sina chama na sijui hata kura inapigwa vipi lkni nimefurahi kukatwa kwa makonda.Hamko kimya,leo usiku kucha ni kelele za kufurahi Makonda kushika nafasi ya pili. Badala ya kushughulika na chama chemu.
unahangaika sana na hawa jamaa.Kwa siku mbili leo na jana CCM kinaendesha mchakato wa kupata wagombea wa nafasi za ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi.
Na taifa zima limeelekeza macho kwenye huu mchakato ili kujua nani ataibuka kidedea ili aingie kwenye tatu bora kisha kamati za siasa za CCM za wilaya, mikoa na kisha halmashauri kuu kuchagua jina moja ambalo linafaa kwa ajili ya kugombea kiti cha ubunge.
Kwa jana watu wengi masikio na macho yao yalikuwa kwenye matokeo ya jimbo la Kigamboni na huko mshindi wa kwanza ni Dk Ndugulile na wa Pili ni Paul Makonda...
Jamaa gani?wee
unahangaika sana na hawa jamaa.
chademaJamaa gani?
Wamebinuka kifo cha mende. Hawawezi kugeuka. Makonda kuwa wa pili imekuwa hoja?chadema
Punguza makasiriko Bashite naamin utaonwa utapewa nafasi mahaliSawa wamepigwa chini. Mnafaida gani ya kisiasa?
Pubguza povu mkuuKama wamekosa mwelekeo wewe kipi kinakuwasha.