Hasta kung'oka Kwa Mzee wa galilaya sema ilikuwa Dua la kuku ma halikumpata mwewe,š.Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.
Mmebaki kudandia hoka ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.
Mfa maji aliyekosa msaadaš¤.Unateseka sana!
Weye ndiye una hahaaaa?Una maana gani?
SI hoja ya anaye haha, au hojĆ ipi yahyeee?Jikite kwenye hoja.
Yaani Chadema pamoja na kupoteza huo mtaji wa kisiasa bado unawazungumzia na kuwataja bdala ya kuwataja chauma. Kweli Chadema wamewashika mbupu akina ndugaiMtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.
Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.
Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.
Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.
Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Nyingi TU, tunahitaji kuuona ule mkono wasaheraaa, waneck nailed time ya uchafuzi kama ilivyochafua 2020 na 2019 kule mitaani Hadi kipindupindu kikaenea na kusambaaš¤.Sasa ameg'oka mmepata faida gani?
NdugaiiiƬiiiiiii in Somebody's voiceMtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.
Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.
Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Acha utotoNi kweli. Tumewaachia TLP, UDP, TADEA, ACT, CUF na NCCR wenye matumaini makubwa.
Na CCM matumaini yao makubwa ni haya hapa:
View attachment 2077391
š¤£š¤£š¤£š¤£Ni kweli. Tumewaachia TLP, UDP, TADEA, ACT, CUF na NCCR wenye matumaini makubwa.
Na CCM matumaini yao makubwa ni haya hapa:
View attachment 2077391
Nyuzi za huyu jamaa siku hizi kachanganyikiwa. Baada ya mabosi wake Makonda, Bashiru, polepole na Ndugai kupigwa nyundo kichogoni kapoteza akiliSio lazima kuanzisha Uzi,kama huna la maana kuwa msomaji tu!
We si ndio ufurahie wanavyoteseka sasa mbona unaumia kuteseka kwao.Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.
Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.
Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Idugunde tuma namba yako nikuwekee hela ya mkate mkuu. Unaowaongelea wala hawajazungumza kokote kutafuta huruma kisiasa. Sasa unataka wasimtetee Mbowe? Idugunde bhana.Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.
Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.
Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.