CHADEMA mmepoteza matumaini ya kisiasa mnahaha kama mbweha msituni, hamjui mtaji gani wa kisiasa utawatoa. Mmebaki kuomba dua la kuku.

CHADEMA mmepoteza matumaini ya kisiasa mnahaha kama mbweha msituni, hamjui mtaji gani wa kisiasa utawatoa. Mmebaki kuomba dua la kuku.

Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.

Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.

Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Sukuma gang naona mnalia kilio cha samaki hakuna anaye wajali.
 
CCM imepoteza matumaini ya kuwaletea Watanzania maendeleo na sasa hivi wamebakia kuwa matapeli wanaolaghai wananchi:

Kwenye kampeni👇😁😁😁
Baada ya kuingia Ikulu👇🐒
 
Yaani Chadema pamoja na kupoteza huo mtaji wa kisiasa bado unawazungumzia na kuwataja bdala ya kuwataja chauma. Kweli Chadema wamewashika mbupu akina ndugai
Cdm kwa sasa ndiyo chama bora kabisa cha upinzani wa kweli hapa nchini.

Wachana na hao wajukuu wa ccm wanaojifanya kuwalaghai wananchi kuwa ni vyama vya upinzani.
 
Idugunde tuma namba yako nikuwekee hela ya mkate mkuu. Unaowaongelea wala hawajazungumza kokote kutafuta huruma kisiasa. Sasa unataka wasimtetee Mbowe? Idugunde bhana.
Tumia akili ya kuzaliwa, sawa?
 
Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.

Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.

Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Ni mwehu tu ndio anaweza kuwaza kama wewe

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.

Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.

Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Watoeni jela tuongee vizuri. Acheni mipambano ya kike. Kwani ni lini mbowe alikuwa ukoo mmoja na Osama.
 
Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.

Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.

Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.

Hivi chama Ni CHADEMA tu?. CHADEMA wanafurahia Ndugai kuondoka maana ndio alikuwa anwakingia kifua covid 19. Hivyo wanafocus kujua Nani ataingia uspika ili waweze kulipeleka Tena bungeni suala la covid 19. Dungai aliweka wazi kwamba wale wabunge hawatoki hata wakifukuzwa chama.
 
Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.

Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.

Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Huwa nikiona mtu ameandika uzi title ndeeeeefu kuliko content nafahamu mara moja tunadili na mjinga
 
Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.

Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.

Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Napingana pakubwa sana na wewe japo nianze kwa kujitmbulisha kama mchangiaji huru asiye na chama, kwa yanayoendelea na yatakayojiri mpaka tunafika 2025 ndio tutajua kama hawa watu wamepotezana au vinginevyo, lakini sio sasa.

Muhimu kujua kuwa kwa mazingira hay yaliyopo mechi ya watani haiko fair kabisa, simple mathematics ni kuimagine kama Engine ya chama ambayo ni Mwenyekiti wa CCM nae angekuwa ndani (behind bars) kama hao Chadema ukijumuhisha na magurudumu ya usafiri wa chama yapo mafichoni maana CCM wanataka kuyatoboa na misumari kuliingizia ndinga puncher, achilia mbali spare parts 19 zilizoibiwa na timu mama. Hapo ndio utajua kuwa CCM ni walking dead creature.

Platform aliyojipa angewapa wenzie ndio angejua hajui, wengi Chadema wamepokonywa kimeno kinga za Ubunge, KUB ambazo zingewapa uhuru zaidi kama ilivyo upande wa pili. Time will tell.
 
Watu tunataka katiba mpya yenye kutupa tume huru ya uchaguzi ili hii tume iliyopo iwasaidie kwenye chaguzi zenu ndani ya ccm lakini wewe bado unawaza tu upumbavu. Bogus kabisa.
 
Mtaji gani wa kisiasa utawatoa mrithi sasa hivi? Ufisadi? Maana mlizoea kusema CcM ni mafisadi.

Mmebaki kudandia hoja ya uchaguzi wa Spika na mnashadidia kuliko hata wanaCCM wenye mandate ya kuteua na kuchagua spika.

Kesi ya ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake itawapa mtaji na kupata huruma ya kisiasa kwa wananchi? Tumieni akili.
Kweli kabsaaaaaa.Yaani hakuna kitu tena.Chadema kwishney na Mbowe akila mvua 30 ndio kabsaaa.Tutabaki wenyeweeeee
 
Back
Top Bottom