Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima ni Kitu Cha Bure 🐼Huko CCM sijui kama kuna wenye akili!
Watekaji na wauaji hawastahili heshima.Heshima ni Kitu Cha Bure 🐼
Hakika wenye akili watakuunga mkono. Kazi nzuriMpaka sasa, CHADEMA wameshinda maandamano. Nashauri ahirisheni maandamano kwa leo, kaeni kama siku mbili hivi, tangazeni maandamano mengine ili tu kuwapa pressure watesi wenu
Mbaya zaidi wale Vijana wamedhulumiwa pesa zao za perdiem na mabwana zao. Unamsafirisha mtoto WA mwenzio kutoka mkoani na humpi hata mia? Ushenzi mtupuMpaka sasa, CHADEMA wameshinda maandamano. Nashauri ahirisheni maandamano kwa leo, kaeni kama siku mbili hivi, tangazeni maandamano mengine ili tu kuwapa pressure watesi wenu
Hahahaha na hawajalipwa hata mia wale Vijana wa watu, nimepita Ubungo Wanapiga miayo na chafya kwa njaa na uchafuSerikali imetumia billion 23, kupambana na maandamano ya amani,ila chadema imesikika nchi nzima .
Kauli mbiu ya 2025, SSH MUST GO!
UJUMBE HUU,UMEFIKA HADI RUVUMA ALIKO LEO.
Upo sahihi kabisaMpaka sasa, CHADEMA wameshinda maandamano. Nashauri ahirisheni maandamano kwa leo, kaeni kama siku mbili hivi, tangazeni maandamano mengine ili tu kuwapa pressure watesi wenu
Mkaandamane makamandaUpo sahihi kabisa
yeah hata mm naona wafanye hvohvo!ikifika huo muda wahairishee!halafu watangaze tena kuwa ijumaa watafanya!polisi wakimbizane tena barabarani halafu ikifika muda fulani wahairishe!hahahaMpaka sasa, CHADEMA wameshinda maandamano. Nashauri ahirisheni maandamano kwa leo, kaeni kama siku mbili hivi, tangazeni maandamano mengine ili tu kuwapa pressure watesi wenu
Wengine wanasema ni 77 Billion imetumikaSerikali imetumia billion 23, kupambana na maandamano ya amani,ila chadema imesikika nchi nzima .
Kauli mbiu ya 2025, SSH MUST GO!
UJUMBE HUU,UMEFIKA HADI RUVUMA ALIKO LEO.
Njoo tuungane huku tunakusubili.Mpaka sasa, CHADEMA wameshinda maandamano. Nashauri ahirisheni maandamano kwa leo, kaeni kama siku mbili hivi, tangazeni maandamano mengine ili tu kuwapa pressure watesi wenu
Makamanda(CHADEMA) wameshinda kwa kishindo. Big up CHADEMA.Serikali imetumia billion 23, kupambana na maandamano ya amani,ila chadema imesikika nchi nzima .
Kauli mbiu ya 2025, SSH MUST GO!
UJUMBE HUU,UMEFIKA HADI RUVUMA ALIKO LEO.
Yes, wauaji waandamane na silaha zao wenyewe😂🤣Mpaka sasa, CHADEMA wameshinda maandamano. Nashauri ahirisheni maandamano kwa leo, kaeni kama siku mbili hivi, tangazeni maandamano mengine ili tu kuwapa pressure watesi wenu
Nimezuiwa na polisi hapa kituo cha Manyanya nikiwiwa naelekea kwenye maandamano MagomeniMkaandamane makamanda
Huko CCM sijui kama kuna wenye akili!