CHADEMA mnaendelea kupotosha kuhusu suala la Ngorongoro, ila mtafeli kama mlivyofeli la bandari

CHADEMA mnaendelea kupotosha kuhusu suala la Ngorongoro, ila mtafeli kama mlivyofeli la bandari

Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Bandari.
Hujitambui, bandari haikuwa sahihi, utakuwa kundi la zembwela,baba levo,stivu nyerere
 
hivi kati ya Wamasai na waislamu wepi wanaongoza kwa kuzaliana hovyo hapa tanzagiza? kama ni kupunguzwa na kufukuzwa wafukuzwe waislamu kwanza, Wamasai ni native wa hapa hapa Afrika na uislamu siyo, Wamasai wame co exist na nature miaka yote kabla hata ya ufirauni na uhanithi haujangia tanzagiza na hawajawahi kuharibu nature hata siku moja bali wam coexist nayo, fvk u …
Nenda Gaza utapata jibu 😄
 
Exactly,hao wanaotolewa huko kwanza wanapewa elimu...kisha wanapewa fidia ya makazi na ardhi ya kulishiwa mifugo yao huko wanakopelekwa...na wanahamishwa wao na mifugo yao kwa utaratibu unaoeleweka kabisa.

Sasa kelele zao hawa Chadema na wanaharakati uchwara ni za nini??
Kuna Wanaccm Wanataka Uchaguzi wa mapema, ndio unaona chokochoko zote hizo 🐼
 
Twende tujikite kwenye mantiki na hoja,wewe unataka wale wamasai waendelee kuachwa wakizaliana wao na mifugo yao hadi lini??umeshawahi kufika kwanza eneo la tukio ukajionea hali halisi ya kinachoendelea kule au mnafuata mkumbo tuh??
Kuna watu akiguswa mwarabu wanahisi umeguswa uilslamu. Ndugu ktk imaninhivyo lazima utetezi uwe mwingi
 
Exactly,mfano hilo tamko la TALA eti linasema wanaporwa ardhi yao ya kilimo na kulisha mifugo,toka lin mmasai akalima??

Na hiyo ardhi ya malisho na ardhi hiyo hiyo ambayo wanyama pori wanapata marisho yao.

Wakiendelea kuongezeka hao wamasai na mifugo yao,wanataka future ya hao wanyama pori na hifadhi iwe vipi??
CHadema wanafanya kila ajenda ili waingie ikulu
 
Kuna watu akiguswa mwarabu wanahisi umeguswa uilslamu. Ndugu ktk imaninhivyo lazima utetezi uwe mwingi
Huko ni kukosa hoja kama jamaa zako chadema,wapo waarabu wengi tuh ambao ni makafiri...mimi nimtetee mwarabu kwa lipi??

Who is mwarabu to me??wewe tuh na fikra zako
 
Hujitambui, bandari haikuwa sahihi, utakuwa kundi la zembwela,baba levo,stivu nyerere
Bandari haikuwa sahihi,thats according to you...

Na katika kuleta maendeleo hatuwezi kukaa kusubiri kila mtu akubali au akatae,hiyo itakuwa siyo nchi sasa.
 
Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Bandari.
.......Sasa, wewe The big Show ni nani Mwanasiasa Uchwara? Kwangu Mimi wewe The big show ndiyo hasaa Mwanasiasa Uchwara.

Kwanini nasema hivi?

Kwangu Mimi mtu yeyote asiye jitambua kwanza namuona ni kama anaye tumika au aliye fika Bei.

Wakati wa Gesi inatoka au haitoki, kule Mtwara, wewe ulikuwa upande wa wananchi wa kusini na ulikuwa unalaani serikali ya Jakaya Kikwete kuwa imekiuka ahadi yake yenyewe kwamba mambo yote kuhusu gesi ya kule Deep sea Mtwara, yatafanyika Mtwara na kwamba ilitarajiwa kuwa Mtwara itakuwa Hub ya maendeleo ya kusasa kutokana na uchumi wa Gesi.

Msimami wako ulishabihiana na Mheshimiwa Lema. Ghafla miaka ya hivi karibuni unatetea chochote kinacho fanywa na serikali hata kama serikali imekosea pakubwa.

Msimami wa Lema haujawahi kubadilika.

Wakati wa sakata wewe ulikuwa upande wa Samia na kwamba kubinafsisha bandari zote za Tanganyika kwako wewe ilikuwa sawa tu. Lema alisema hapana.

Leo unaona kuhamishwa wamasai zaidi ya laki Moja ili waarabu wachache wapewe ardhi Ile wewe unaona sawa tu.

Kwangu Mimi, wewe ni takataka na una akili ya ajabu sana.
 
Ngorongoro wangekuwa wanafurushwa bila kulipwa fidia na stahiki zinginezo ningeelewa kinyume na hapo ni siasa za kiki za Machadema
Kitima sio CHADEMA
Mwamalanga sio CHADEMA
Shivji sio CHADEMA
 
Ilitoka,na sisi tunanufaika nayo pia,we ukitaka kusemaje kwani?

Hapana umenikumusha harakati zako za kuzuia gesi isitoke mtwara....jibu ulilotoa limeenda against ulichokuwa unakipigania awali hata na hili unaweza siku zijazo ukabadilika kimtazamo.
 
.......Sasa, wewe The big Show ni nani Mwanasiasa Uchwara? Kwangu Mimi wewe The big show ndiyo hasaa Mwanasiasa Uchwara.

Kwanini nasema hivi?

Kwangu Mimi mtu yeyote asiye jitambua kwanza namuona ni kama anaye tumika au aliye fika Bei.

Wakati wa Gesi inatoka au haitoki, kule Mtwara, wewe ulikuwa upande wa wananchi wa kusini na ulikuwa unalaani serikali ya Jakaya Kikwete kuwa imekiuka ahadi yake yenyewe kwamba mambo yote kuhusu gesi ya kule Deep sea Mtwara, yatafanyika Mtwara na kwamba ilitarajiwa kuwa Mtwara itakuwa Hub ya maendeleo ya kusasa kutokana na uchumi wa Gesi.

Msimami wako ulishabihiana na Mheshimiwa Lema. Ghafla miaka ya hivi karibuni unatetea chochote kinacho fanywa na serikali hata kama serikali imekosea pakubwa.

Msimami wa Lema haujawahi kubadilika.

Wakati wa sakata wewe ulikuwa upande wa Samia na kwamba kubinafsisha bandari zote za Tanganyika kwako wewe ilikuwa sawa tu. Lema alisema hapana.

Leo unaona kuhamishwa wamasai zaidi ya laki Moja ili waarabu wachache wapewe ardhi Ile wewe unaona sawa tu.

Kwangu Mimi, wewe ni takataka na una akili ya ajabu sana.
Issue ya Gesi Mtwara,sisi tulikuwa tuna hoja zetu sisi kama sisi wananchi wa mtwara.

Na so far sisi kwa kias flan tulishafanikiwa,kuja kwa mwekezaji kama Dangote ilikuwa ni miongoni mwa hoja zetu,wawekezaji waje na sisi tunufaike kwa ajira na kukua kwa uchumi.

Kuhamishwa kwa wamasai ni kwa maslahi ya taifa kama yalivyo kawa issue ya gesi,so chochote chenye maslahi ya Taifa sisi tutasimama na kuunga mkono.
 
Hapana umenikumusha harakati zako za kuzuia gesi isitoke mtwara....jibu ulilotoa limeenda against ulichokuwa unakipigania awali hata na hili unaweza siku zijazo ukabadilika kimtazamo.
Harakati zetu hazikuwa kuzuiwa gesi isitoke,harakati zilikuwa ni kuuliza sisi tunapata nini??tunaachwaje baada ya gesi kuanza kutoka.
 
Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Bandari.
Said alishakuwa ni jambazi....

Ana "legitimate" gani ya kushauri mambo mtambuka ya kiutu na kibinaadamu?!! [emoji44][emoji1787]

#Ngorongoro ni mali ya watanzania [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
hivi kati ya Wamasai na waislamu wepi wanaongoza kwa kuzaliana hovyo hapa tanzagiza? kama ni kupunguzwa na kufukuzwa wafukuzwe waislamu kwanza, Wamasai ni native wa hapa hapa Afrika na uislamu siyo, Wamasai wame co exist na nature miaka yote kabla hata ya ufirauni na uhanithi haujangia tanzagiza na hawajawahi kuharibu nature hata siku moja bali wam coexist nayo, fvk u …
Udini huo....

Ukristo sio kabila...

Ubudha sio kabila..

Uislamu sio kabila...

Wewe jamaa umekula "maharagwe" ya wapi ?!! [emoji44][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Poyoyo kama poyoyo katika ubora wa upoyoyo wako!

Wamasai sio mahanithi waache kuzaliana. Fahamu kwamba kuzaliana ni haki ya kiasili na ya msingi pia.

CCM imeshindwa kuongoza nchi imeamua kuuza rasilimali zetu kwa waarabu. Tunasema na kuwaambia basi IMETOSHA.

Uhanithi wenu endeleeni na waarabu wenu huko msituchafulie na kunajisi ardhi na rasilimali zetu.

Kuhusu bandari DP world mnajidanganya, tuna wazoom tu! Endelea na upumbavu wenu na CCM wenzako

Tunasubiri muda mzuri wa kuichinja na kuizika CCM futi mia moja chini, safari hii sio kwa sanduku la kura, subiri muone hamtaamini macho yenu kwa kinachokwenda kutokea.
 
Back
Top Bottom