CHADEMA mnaendelea kupotosha kuhusu suala la Ngorongoro, ila mtafeli kama mlivyofeli la bandari

CHADEMA mnaendelea kupotosha kuhusu suala la Ngorongoro, ila mtafeli kama mlivyofeli la bandari

Pesa inaenda Kwa maafisa wa juu hamna pesa itayoenda Kwa wananchi hapo unafikili sisi ni wageni wa hii nchi mzee wewe kama umepewa hela kula ila sio Kila kitu uonekane umechangia
Hayo ni mawazo Yako, Serikali haigawi pesa Bali inafanya masuala ya Jumla Kwa maendeleo ya watu.

Masia wahamie ,Nchi hii ni kubwa Ina mapori waende huko
 
Hayo ni mawazo Yako, Serikali haigawi pesa Bali inafanya masuala ya Jumla Kwa maendeleo ya watu.

Masia wahamie ,Nchi hii ni kubwa Ina mapori waende huko
Hamna vitu ilivyofanya zaidi ya kula hela serikali imefanya vitu Gani mzee acha habari zako nakuonaga Kila siku unabwabwaja humu
 
Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Bandari.
actually,
wameshafeli mapema kabisa kwasababu hawana msingi wa hoja wanazo zitoa na kujenga, lakini pia nadhan hawajui hata wanatetea nini....

kwa maslahi mapana ya Taifa, nadhani ni wakati muafaka sana kuwapongeza wananchi wazalendo waliokua wakiishi ndani ya hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, maelfu kwa maelfu yao na kwa hiyari na dhamira yao njema, kukubali kuondoka hifadhini na kuhamia Msomera mkoani Tanga, ni uzalendo wa kiwango cha juu mno duniani...

bila ubinafsi, choyo wala tamaa, ila kwa manufaa ya vizazi vijavyo na kwa maslahi mapana ya Taifa, wazalendo wale wa kimasai, historia ya Tanzania itawakumbuka, kwa kwa kujitolea kwao umoja wao, na bila hiana wakakubali kuondoka hifadhini ngorongoro,

na hivi sasa wanakula maisha msomera, nadhani chadema ilipaswa kuwatete wazalendo hawa muhimu ikiwa wanakosa huduma muhimu...

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
 
Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Banda
Ulicho andika hapa ni insha hujielewi.
Hapa naku hakikishia Wamaasai wana kwenda kushinda hii battle.
Punguza uchawa
 
Sio kujifunua yaani Ngorongoro ni eneo la Kimkakati Kwa biashara ya Utalii ndio maana haitakiwi kuharibuwa Kwa shughuli za binadamu.
Inavyoelekea kumbe wewe unapiga mayowe tu bila kujua hata historia ya Wamasai na Ngorongoro yao..

Inavyoelekea kumbe hujui hata maana ya "conserved area" na tofauti kati ya "National Parks" na "conservation areas"

Sikiliza bwana ChoiceVariable. Ni vyema tubishane huku tukiwa wakweli ktk nafsi zetu...

Possibly serikali ikawa na lengo zuri kwa inachofanya huko Ngorongoro lakini kwa njia zisizo sahihi na zilizo kinyume cha sheria na ubinadamu..

Na jambo lolote linalofanyika kilaghai na kwa udanganyifu kwa kukiuka taratibu na sheria na hivyo kwa kutumia nguvu na bunduki, siku zote huwa na nia ovu ndani yake. Hapa ndipo tatizo lilipo na resistance ni lazima..

Kwa maoni yangu kabla ya yote ilipaswa yafuatayo yafanyike;

1. Serikali kwanza kutangaza nia ya kutaka kulifanya eneo la Ngorongoro kuwa hifadhi ya wanyama. Lakini kinyume chake kinachofanyika ni kufukuza Wamasai (watu) kisha kuruhusu wawekezaji (Waarabu) kuingia na kuishi humo..! Hii maana yake nini kwani? Nani ataelewa huu utaratibu unadhani..?

2. Ushirikishwaji wa jamii na stake holders wengine wote ufanyike kwa serikali kutoa elimu na kushawishi watu watoe hiari yao kuhama kwa manufaa ya nchi ambayo ni lazima yawe very clearly stated ktk namna rahisi KUELEWEKA kwa kila mtu

3. Serikali iweke wazi utaratibu wa kuhama na fidia iliyo wazi kwa kila mtu. Maana kwenye hili, Kuna baadhi ya familia zilizohamia Msomera Tanga zinalalamika kilichoahidiwa na serikali sicho wanachopata huko waendako.

4. Mwisho, kama serikali inataka kuligeuza eneo la "Ngorongoro Conservation Area" kuwa hifadhi ya taifa yaani "National Park" kama ilivyo Serengeti, Mikumi nk, basi ifuate utaratibu wa kisheria kwa kubadilisha sheria inayolitambua eneo hilo kama "conserved area" Ili liwe "National Park" na kukataza kisheria watu kuishi humo na kufanya shughuli zao..

Swali kwako ni hili: Hayo👆👆 yalifanyika..?
So hameni why Tuhatibu Ngorongoro kisa Masai? Kwani Nchi hii imeisha maeneo ya watu kuishi?
Nawe nakuambia, hameni ninyi huko mliko mwende kule ambako mwaarabu anataka mwende...

Kwanini iwe kwa Wamasai tu..?

By the way, hata Zanzibar hususani Kizimkazi ni eneo zuri kuvutia watalii...

Ni vyema Wazanzibari wote wahamishiwe Msomera Tanga Ili kuruhusu shughuli za kiutalii kutoingiliana na shughuli za kibinadamu katika kisiwa hicho ambacho wapo wawekezaji walio tayari kukinunua na kulipa pesa nyingi na taifa kupata HELA a.k.a PESA..!!

Umeipata hiyo? Kwa heri🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
actually,
wameshafeli mapema kabisa kwasababu hawana msingi wa hoja wanazo zitoa na kujenga, lakini pia nadhan hawajui hata wanatetea nini....

kwa maslahi mapana ya Taifa, nadhani ni wakati muafaka sana kuwapongeza wananchi wazalendo waliokua wakiishi ndani ya hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, maelfu kwa maelfu yao na kwa hiyari na dhamira yao njema, kukubali kuondoka hifadhini na kuhamia Msomera mkoani Tanga, ni uzalendo wa kiwango cha juu mno duniani...

bila ubinafsi, choyo wala tamaa, ila kwa manufaa ya vizazi vijavyo na kwa maslahi mapana ya Taifa, wazalendo wale wa kimasai, historia ya Tanzania itawakumbuka, kwa kwa kujitolea kwao umoja wao, na bila hiana wakakubali kuondoka hifadhini ngorongoro,

na hivi sasa wanakula maisha msomera, nadhani chadema ilipaswa kuwatete wazalendo hawa muhimu ikiwa wanakosa huduma muhimu...

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
Sisi bado tupo na Massai....hatoki mtu....



View: https://www.youtube.com/watch?v=cuSAlwIHH0M

actually,
wameshafeli mapema kabisa kwasababu hawana msingi wa hoja wanazo zitoa na kujenga, lakini pia nadhan hawajui hata wanatetea nini....

kwa maslahi mapana ya Taifa, nadhani ni wakati muafaka sana kuwapongeza wananchi wazalendo waliokua wakiishi ndani ya hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, maelfu kwa maelfu yao na kwa hiyari na dhamira yao njema, kukubali kuondoka hifadhini na kuhamia Msomera mkoani Tanga, ni uzalendo wa kiwango cha juu mno duniani...

bila ubinafsi, choyo wala tamaa, ila kwa manufaa ya vizazi vijavyo na kwa maslahi mapana ya Taifa, wazalendo wale wa kimasai, historia ya Tanzania itawakumbuka, kwa kwa kujitolea kwao umoja wao, na bila hiana wakakubali kuondoka hifadhini ngorongoro,

na hivi sasa wanakula maisha msomera, nadhani chadema ilipaswa kuwatete wazalendo hawa muhimu ikiwa wanakosa huduma muhimu...

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
View: https://www.youtube.com/watch?v=cuSAlwIHH0M
 
Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Bandari.
20240822_194031.jpg
 
Sahihi kabisa Mkuu,ukitaka ujue ukweli,we waulize hao wanaopinga kuwa wanataka serikali ifanye nini katika kunusuru ile hifadhi na wale wanyama kwa maslahi ya kizazi hiki cha sasa na hivyo vinavyokuja??

Kwa sababu wale maasai ni wanadamu

Huelewi unachokisema,na kama huelewi au hujui ni vigumu sana kupata uhalisia wa kinachoendelea kule.
Bila shaka sasa wewe umeelewa kinachoendelea.....Kila kitu kinarudishwa kama zamani.....sisi ni ndugu, ubaguzi hauna nafasi
 
DP World inaendelea na kazi na matunda yake yanaonekana,wapiga kelele mko wapi sasa??

Issue ya Gesi Mtwara,sisi tulikuwa tuna hoja zetu sisi kama sisi wananchi wa mtwara.

Na so far sisi kwa kias flan tulishafanikiwa,kuja kwa mwekezaji kama Dangote ilikuwa ni miongoni mwa hoja zetu,wawekezaji waje na sisi tunufaike kwa ajira na kukua kwa uchumi.

Kuhamishwa kwa wamasai ni kwa maslahi ya taifa kama yalivyo kawa issue ya gesi,so chochote chenye maslahi ya Taifa sisi tutasimama na kuunga mkono.
Samia amemsikiliza Lema.Mlaumu Sasa mama yako kuungana na Lema tukusikie kama huna msimamo wa jogoo kusimamia mguu mmoja,mtupie punje moja uone atakavyo kugombea hiyo punje na vidaranga!
 
Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Bandari.
Mbona hujaeleza alichopotisha? Kupotosha ni kama kusema 2+5=8 na wewe unayeweka sahihi unasema, hapana 2+5=7 na si 8. Kusema tu kwamba kapotosha bila kuonyesha alivyopotosha na pia bila kuonyesha usahihi wake ukoje, unakuwa hujaeleza chochote.
 
Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Bandari.
ila kuna watu nchi hii ni wapuuz , hukuona yale MApendekezo ya ccmu waliyokuwa wanayapigia chapuo ? hujui kuwa mkataba uliosainiwa ni kwa jitihada za chadema , viongoz wa dini na wanazuon mbali mbali bila hivyo walikuwa wanasaini yale mapendekezo yao yasiyotaja kikomo na hata bungeni waliyapitisha yale mapendekezo , bunge halikiona kuwa yale mapendekezo yalikuwa yanagusa all economic zones na sio bandari tu pia hakukuwepo na ukomo ya mkataba ila hao unawaona wabaya ndo walikuokoa wewe g@y wa mbagala unaejuwa kupewa kofia na jez kukata mauno majukwan wenzio wanapea mabilioni na DP world , wanaiba 42B ambayo ww ukipewa 1B huez imaliza maisha yako yote hata ukiwa unakula kwa 100k kwa siku .


Wajinga kama ww ndo mtaji wa ccmu , hufuatilii nje ya propaganda za ccmu , ccmu wanakwambia chadema wanapinga uwekezaj kana kwamba maswala ya ukwekezaj wanawekaga meza moja na chadema ili wapate ruhusa kumbe ni bunge lao lilijaa ccmu 90% wabunge hawa hawa wanajua kukubali kila kinacholeta bungeni bila kuhoji mapunguf kurekebishwa .

Leo jinga jinga kama ww urudi kudai chadema wanapotosha , je bbc nao wanapotosha walioonesha matumiz ya nguvu kuwaamisha watu ngorongoro?

Je nchi yenu inapeleka wap kodi zake mpk washindwe hata zitunza hifadhi ?

Bandaru unataka usaidiz ?
usafi wa miji usaidiz ?
Maji usaidiz ?
Umeme kabisa hawawez , napo pia ipo siku wataitaji usaidiz


Hawa viongoz wa wizara na makatibu wao wanafaida gan ? cheo kimoja tunalipa watu wawili mishahara wanashindwa kuwa na mipango thabiti ya kuiendeleza bila kufukuza wamasai kama walivyofanya Namibia na South africa kuendeleza jangwa lao la karahal bila kuwaathiri busmen ambao ni kivutip cha utalii kwa wageni .


Ifike wakati mjuwe ccmu itaondoka ila makosa yake yatabakia kuathiri vizaz na vizaz , Tuache kukwepesha ukwel maana athari za ujinga wa ccmu zitawaathiri watoto wetu kipindi hicho hawatakuwa wanaijuwa chadema wala Nccr wala Cuf


Makosa ya babu zetu kwa kutoungana na Akina Abushiri , Mirambo na Mkwawa , Kinjekitile kuwakabili wazungu , haya makosa yametutia doa kwa zaid ya miaka 100 sasa , tunatoka kwenye doa moja tunajitengenezea doa jingine la zaid ya miaka 100 mingine yaan vizaz vyetu vitatu mbele

USIJALI TUMBO LAKO MAANA BILA CCMU UNAEZA ISHI NA UKAACHA MAZINGIRA SALAMA KWA VIZAZ VYAKO VINGI MBELE ILA ULAJI HUU WA CCMU KUKUZIMA MDOMO USIKEMEE
*RUSHWA
*UTEKAJI
*MAUAJI YA WAKOSOAJI
*UBAMBIKIZIWA KESI WA WAKOSOAJI
* KUTOWAJIBIKA VIONGOZ TULIOWAPA DHAMANA
*WIZI KWENYE MIRADI YA UMMA
  • AJIRA ZA KUJUANA
  • MATUMIZI MABOVU YA KODI ZA WANANCHI , UNACHANGIA 25M KWENYE MASHINDANO YA QURAN PIA UNALIPIA 5M KWA KILA GOLI LA TIMU ZETU ZA NDANI PIA UNAWEKEZA KWENYE KUWEKA MABANGO BARABARANI KULIKO KUWAJIBIKA KWENYE KUTOA HUDUMA ZA KIJAMII , HII 25M INATOSHA KUBORESHA SHULE MOJA YA MSINGI EITHER MADAWATI AU VIFAA VYA KUFUNDISHIA
  • UGAWANAJI WA MALI ZA UMMA , SASA HV VIWANJA VYA MPIRA CCMU IMEVIPORA VYOTE NA KUJIBINAFSISHA , MASOKO WAMEPEANA VIONGOZ MF SOKO LA TGT KWA NDEV , PIA STEND ZA DALADALA MF MBAGAL , TEGETA NYUK
  • KUWEKEZA NGUVU NYING JIJI MOJA NA KUTEEKEZA NCHI NZIMA , KODI ZINAKUSANYWA KUTOKEA MIGONI YA MIKOANI , VIWANDA VYA MIKOANI MF MKOA WA PWANI , MBUGA NA HIFADHI ZA MIKOANI , MISITU YA MIKOANI MF MISITU YA MBAO YA IRINGA , NJOMBE NA MBEYA ILA PESA ZAO ZINAKUJA KUJENGA DAR ES SALAM HUKU WENYE MALI ZAO WAKIBAKIA KUISHI BILA HUDUMA ZA KIJAMII KWA KRB 65% YA MIKOA YAO ILA LIPO ZUMBUKUKUU LITABAKIA KUSHABIKIA CCMU


HAYA YOTE YAMEFANYWA NA CCMU NA BADO WANAENDELEA KUFANYA MENGI ILA WAJINGA WALIPEWA TSHIRT NA KOFIA NA BUKU 20 NA LIFT YA COASTER MNASAHAU NA KUWAOBA CCMU WAKOMBOZ WENU WKT HZ NI KODI ZENU , NA MKICHELEWA KUWARUDISHIA HELA WALIZOWAPA KWENYE KAMPEN , WANAPANDISHA BEI ZA VITU MAKUSUDI MAANA WAO NDO WAMILIKI WA KILA NYANJA WAMEJIFICHA NYUMA YA MATAJIRI


AMKA MWAKA 2024 USIWE NA MITIZAMO YA 1885 KATAA KUWA COLLABORATOR WA UHARIBIFU WA NCHI YAKO
 
kwamba wamasai wajinga kuwasikiliza chadema na kuacha hizo hofa za Samia ? hv huu ubinafsi wenu utaisha lin ?
Exactly,hao wanaotolewa huko kwanza wanapewa elimu...kisha wanapewa fidia ya makazi na ardhi ya kulishiwa mifugo yao huko wanakopelekwa...na wanahamishwa wao na mifugo yao kwa utaratibu unaoeleweka kabisa.

Sasa kelele zao hawa Chadema na wanaharakati uchwara ni za nini??
 
Back
Top Bottom