CHADEMA mnaendelea kupotosha kuhusu suala la Ngorongoro, ila mtafeli kama mlivyofeli la bandari

Samia amemsikiliza Lema.Mlaumu Sasa mama yako kuungana na Lema tukusikie kama huna msimamo wa jogoo kusimamia mguu mmoja,mtupie punje moja uone atakavyo kugombea hiyo punje na vidaranga!
Jogoo ana hulka za kifala sana kama CHADEMA, mfano wako nimeupenda sana,ha ha πŸ˜‚ πŸ˜‚ ,,, besides Samia na serikali yake lazima waendelee na mpango wa kuwatoa wale mbugani.
 
Bila shaka sasa wewe umeelewa kinachoendelea.....Kila kitu kinarudishwa kama zamani.....sisi ni ndugu, ubaguzi hauna nafasi
Nani kakuambia hivyo,we UNADHANI plan ya kuwahamisha kwenda msomera ni plani ya kujaribu??
 

Bado una msimamo huo au kuna kitu umeelewa sasa
 
ni nzuri tu
Nani kakuambia hivyo,we UNADHANI plan ya kuwahamisha kwenda msomera ni plani ya kujaribu??
Mjinga katika ubora wako. Rejea Tena kuisoma ile mada yako!!

Naona huko Zanzibar mna tatizo vichwani!!

Mjinga mkubwa, hata bi Mkubwa kakupuuza!! Kama ulipata posho ya kuandika ule utumbo basi rudisha hizo pesa
 
Mjinga katika ubora wako. Rejea Tena kuisoma ile mada yako!!

Naona huko Zanzibar mna tatizo vichwani!!

Mjinga mkubwa, hata bi Mkubwa kakupuuza!! Kama ulipata posho ya kuandika ule utumbo basi rudisha hizo pesa
muerevu na mihemko tu 🀣

sasa unapanic nini kwa mfano, dah πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…