Pre GE2025 CHADEMA mnajivua nguo kwa kuanzisha michango ya kumnunulia Lissu gari la kifahari. Hampo kwa ajili ya wananchi

Pre GE2025 CHADEMA mnajivua nguo kwa kuanzisha michango ya kumnunulia Lissu gari la kifahari. Hampo kwa ajili ya wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Matongee

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2023
Posts
1,056
Reaction score
2,729
Hii kampeni ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
Wapi na lini Chadema wametangaza kupitisha huo mchango? Ungetuwekea hilo tangazo lao tungeweza kuchangia siyo umepigwa tukio na mumeo huko unataka utushirikishe huzuni zako. Weka ushahidi hapa twende sawa
 
Unakerwa na hela wanayotoa Watanzania toka mifukoni mwao kwa mapenzi yao ILA unaona heri mabilioni yanayofujwa toka Hazina (pesa za walipa kodi) bila ridhaa ya wananchi kwa ajili ya anasa za watawala na ufisadi wao!

Eti heri CCM iendelee kutawala. So be it! Kama unaona heri kwa maisha yako. Yaani kuliko Lissu achangiwe mamilioni binafsi ya hiari kwa wanaotambua mchango wake, heri CCM iendelee kufuja matrilioni ya umma! Akili ya ajabu sana hii.
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
Chadema ni bongo movie iliyochangamka kwa drama walimpa bus liliishia wapi!
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
Tuwekee Uzi ulioanzisha kupinga wabunge wa ccm kujinunulia magari ya kifahari.

Hela zetu tutamchangia Lisu anunue gari, za kwenu kachangieni mbio za mwenge wa uhuru.
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
Juzi niliombwa nimechangie mwenge tsh 500,000 una faida Gani?

Kumchangia kamanda mtetezi wa haki za wananchi ni sawa tu.

Wazalendo waupenda nchi tutamchangia
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
Hujalazimishwa kuchangia. Punguza kimbelembele. Tofautisha CCM inayotumia Kodi ya Wananchi kununua Magari na CHADEMA inayotumia michango ya hiari kununua gari.
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
Walioliharibu hilo gari ni ccm kwa makada wake kumpiga risasi Tundu lissu ningekupongeza endapo ungesema Ccm ndio Wachangishwe kwani ndio walioliharibu hilo Gari
 
Kwanini asinunue mwenyewe, mafao yote aliolipya hayatoshi kuninua gari, kweli wananchi ni tools za viongozi kuishi maisha mazuri.
 
Hii kampenzi ya kuchanga ili kumnunulia gari jipya la kifahari Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni dhihaka iliyopitiliza kwa mwananchi wa kawaida. Tofauti kati ya wabunge wanaopitisha bajeti za kujinunulia magari ya kifahari na viongozi wa CHADEMA hakuna. Kama viongozi wa CHADEMA nao wanawawaza V8 VXR, LC300 na magari mengine ya kifahari kunakuwa na tofauti gani na CCM wanaowalaumu kila siku? Inakera sana.

Kama pamoja na ruzuku na stahiki alizolipwa Lissu hazijaweza kumnunulia gari itoshe kusema CHADEMA haitoshi kabisa kuongoza hii nchi. Potelea mbali acha CCM iendelee kuwepo kuliko kuchagua hili genge la Mbowe linalowaza bata muda wote. Halafu Lissu hajashindwa kujinunulia gari. Kinachofanyika kwa sasa ni uhuni tu wa kupiga hela kupitia michango.

Ninamshauri Lissu akatae hili suala la kuchangiwa ili kulinda hadhi yake na ya chama chake.
1. Hujaambiwa uchange, rubbish chawa.
2. Nani kasema ya kifahari?
3. Nasikia tetesi zimeshafika 130,000,000 sasa ujinyonge
 
Back
Top Bottom