CHADEMA mnaletewa Mpina kuwamaliza

CHADEMA mnaletewa Mpina kuwamaliza

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
 
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Kwamba chadema watarudi makosa yale yale
 
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Upuuzi huu ungejadili.na wanao tu nyumbani kwako, hivi unawaona Chadema wao ni wajinga kiasi gani?
 
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Big no. Mpina na chama chake kinachotokea siyo drama. Mpina amedhamiria na haivi hata kidogo na wahuni wa kijani. Kama tutakuwa na upinzani imara 2025 njia nyeupe kwani wapo wengi wanakuja
 
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Chadema sio wazembe kiasi hicho mkuu. Na Hilo linafahamika.
 
Upinzani haupaswi kumuamini kabisa mtu kutoka CCM, hata kama ana ushawishi kiasi gani kwa wananchi
 
Back
Top Bottom