CHADEMA mnaletewa Mpina kuwamaliza

CHADEMA mnaletewa Mpina kuwamaliza

Big no. Mpina na chama chake kinachotokea siyo drama. Mpina amedhamiria na haivi hata kidogo na wahuni wa kijani. Kama tutakuwa na upinzani imara 2025 njia nyeupe kwani wapo wengi wanakuja
Anaweza kwa dhati kabisa kuwa mkweli na kuhitaji nafasi upinzani. Bahati mbaya anaweza kupewa. Sasa kuanzia hapo ndio maumivu yanaanza kupungua. Hasira zinaisha. Anaanza kukumbuka nyumbani, na washkaji. Anaanza kuitwa nyumbani na vizawadi zawadi na viahadi. Mara huyooo... Rudi Nyumbani kumenoga
 
Watu mna cospracy za kitoto sana kwa hiyo ccm wamuendae mpina ili aka distract chadema for how ?
 
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Mnamuogopa kwelikweli
 
Mawazo finyu sana haya japo ni ngumu kutokea. Kwa mahesabu ya haraka haraka ni ngumu mwana chadema kutokumpigia kura mgombea aliyetoka ccm kisha akaamia chadema na akapewa nafas ya kugombea pia ni raising kwa mwana ccm kumpigia mwana ccm kumpigia kura mwana ccm mwenzao aliyehamia chadema. Hivyo kumpokea mtu kutoka ccm kwa vyovyote vile ni faida kwa chadema, ila kinachowasuta nyie chadema ni ile tabia yenu ya kumchafua mtu akiwa ccm hivyo mnapata tabu kumpiga msasa akija kwenu.
 
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Akili za kijinga hizi kuletewa ndo Nini? Na nani?

Badala ya kuandamanakushinikiza ili bashe na mwigulu wajiuuzulu kwa kutengeza mgao bandia wa sukari ili wapige hela
Hili jinga linaleta siasa. Hii nchii imejà mabumumunda tu
 
Mahali watz hawajui”, mbwa wa jirani ni kama mbwa wako tu, adui akitokea wote watambwekea pasipokujali mipaka iliyowekwa na wamiliki…!!!
 
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
hilo lipo wazi
tunaomba aende act wazalendo kwa zito
 
Upuuzi huu ungejadili.na wanao tu nyumbani kwako, hivi unawaona Chadema wao ni wajinga kiasi gani?
Kwani Kuna ujinga zaidi ya ule walioufanya 2015 pamoja na Edward Lowasa.
Mbona hawajatoka hadharani kukiri kuwa walikosea kumpa Lowasa tiketi ya kugombea uraisi kupitia chama Chao.
Kwakuwa hawajasema kuwa walichokifanya 2015 ni kosa , basi uwezekano wa kurudia jambo hilo hilo ipo na ni makubwa.
 
Aende tu huko CHADEMA ,..kikubwa afanye kwanza kazi ya kukitangaza chama Meatu na kanda ya Ziwa kwa ujumla kama 10years ndio apewe nafasi ya kugombea hata udiwani
Wakati huo Peter Msigwa akiwa RC au katibu tawala wa mkoa wa Mwanza.
 
Back
Top Bottom