..ni Luhaga.Hivi Mpina ni nani?
Ataenda ACT ya Membe1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.
2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na jump nafasi. Hapo ndo anguko lenu.
3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.
Ni mbungeHivi Mpina ni nani?
Kwamba chadema watarudi makosa yale yale1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.
2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.
3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.
4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Upuuzi huu ungejadili.na wanao tu nyumbani kwako, hivi unawaona Chadema wao ni wajinga kiasi gani?1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.
2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.
3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.
4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
hawajafikia kuwa smart chadema bado mazezetta kibao yakiiongozwa na mboweSidhani kama Chadema wanaweza kurudia makosa ya previous Election, they are smart enough. Anyway let’s wait patiently.
Big no. Mpina na chama chake kinachotokea siyo drama. Mpina amedhamiria na haivi hata kidogo na wahuni wa kijani. Kama tutakuwa na upinzani imara 2025 njia nyeupe kwani wapo wengi wanakuja1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.
2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.
3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.
4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Chadema sio wazembe kiasi hicho mkuu. Na Hilo linafahamika.1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.
2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.
3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.
4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Si ndio chama chenye kuamini kuwa wao ndio chama pekee cha upinzani Tanzania na kwamba vyama vyengine vyote ni matawi ya ccm.Kwani hakuna vyama vingine zaidi ya CHADEMA?
Ina maana Chadema waliwahi kukiri kuwa walifanya makosa?Sidhani kama Chadema wanaweza kurudia makosa ya previous Election, they are smart enough. Anyway let’s wait patiently.