CHADEMA mnaletewa Mpina kuwamaliza

Hizo schandal tushazizoea kwa Lowassa si ilikuwa hivo hivo ila mwishowe alirudi bila kumsahau Mh.Membe
 
yote yanawezekana
 
Mbowe alishasema kwenye siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu..kikubwa tunaangalia sababu za kuenguliwa huko..je ni kwa sababu ya maslahi ya uma au maslahi binafsi.?
Hakuna mwanasiasa wa Afrika anayefikiria maslahi ya Umma zaidi ya maslahi binafsi
 
HAKUNA CDM itashinda bila kuwa na watu tena watu wengi wenye ushawishi kwa watu wa chini kule mashinani!
Lazima CDM itoke kwenye comfort zones...
ccm mara zote inashinda kwa sababu inawashawishi wale watu wa vijijini!
Tatizo CDM wanajione kuwa hawataki watu wengine chamani.
You can't win elections without mathematics and in this case the numbers!
 
Tatizo lenu nyie vijana mnadhani chadema ni chama cha mtu,familia au kikundi cha watu fulani au ni sacos ambayo kujiunga kwake kunahitaji masharti kama ya mganga wa kienyeji.

Chadema ni chama cha siasa na ni chama cha uma. Mtaji wa chama cha siasa ni watu yaani wanachama walio na kadi halal ya chama na wale wasio wanachama. Hivyo ili uweze kushinda uchaguzi unawahitaji zaidi wale wasio wanachama wako wawe upande wako, sasa ili kuwapata hawa utawahitaji wahamiaji wenye ushawishi kwa wakati huo kama alivyokuwa Mzee Lowasa.

Swala la kuendelea kubaki au kurudi kwenye chama chake hapo baadae kuna tegemea muelekeo wa chama chenu. Mfano Lowssa hakupendezwa na siasa za kiuwanaharakati. Na mnapaswa mfahamu hata wana ccm wengi tu wanakiona chadema ni kama chama mbadala cha kufikia matarajio yao ya kisiasa endapo kwa namna yeyote watashindwa kuyafikia ndani ya ccm. Mnachopaswa kufanya ni kuacha zile siasa zenu za kuchafua watu wakiwa ndani ya ccm ili wakihamia kwenu msipate kigugumizi cha namna ya kuwasafisha.
 
Kwani akienda CDM na akawa na sifa shida iko wapi? CCM pia sio wajinga kihivyo ukanda ule ni wa kimkakati hawatakuwa tayari kumpoteza
Ingekuwa mshindi anatangazwa kwa kigezo Cha wingi, hiyo Kanda ya kimkamati ingekuwa na maana.
 
Acha maneno mengi, hakuna mwanaccm anaweza kufanya siasa nje ya mbeleko ya vyombo vya Dola, Wala sio suala la uanaharakati. Isitishe hilo neno harakati ni tafsiri ya kiccm, usipokuwa unawanyenyekea na kuwapa ukweli wao, hukuita mwanaharakati.
 
Chadema ni chama hakina sababu ya kumkataa mtu, ila kila anaehamia lazima wekewa mipaka sio kufika chumbani bali kuishia sebuleni , ili chadema sina shaka wapo na uzoefu nalo, haliwezi kuwasumbua ,

Na hawa wanaotaka kujiunga chadema lazima pewa mkataba mkali ,ikitokea analeta mbinu za kukijeruhi chama na kubainika na kwa ushahidi usio kuwa na shaka basi atalazimika kulipa fidia lingana na ukubwa wa tatizo.

Na hii sio kwa wageni tu ,inatakiwa kwa wangombea wote kuanzia serikali za mtaa, mpaka juu wapewe mikataba mikali
 

Wote hao walipewa nafasi na chadema haijaanguka
 
kama atapokelewa labda aje agombee ubunge 2030
 
Acha maneno mengi, hakuna mwanaccm anaweza kufanya siasa nje ya mbeleko ya vyombo vya Dola, Wala sio suala la uanaharakati. Isitishe hilo neno harakati ni tafsiri ya kiccm, usipokuwa unawanyenyekea na kuwapa ukweli wao, hukuita mwanaharakati.
Endeleeni kushupaza shingo
 
Atakumaliza wewe stupid. Mnawaza CHADEMA baadala ya ukweli wa kashfa. Acha kuwa mnafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…