Pre GE2025 CHADEMA mnashindwa kuwa na Tv, radio kweli?

Pre GE2025 CHADEMA mnashindwa kuwa na Tv, radio kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.

Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Mkuu sio rahisi kiivyo, unakumbuka gazeti la Tanzania Daima?
Wakianzisha kila siku watashinda mahakamani kwa kesi za uchochezi,
Pia kumbuka boss wa wanahabari ni Nape Mnauye
 
Mkuu sio rahisi kiivyo, unakumbuka gazeti la Tanzania Daima?
Wakianzisha kila siku watashinda mahakamani kwa kesi za uchochezi,
Pia kumbuka boss wa wanahabari ni Nape Mnauye
uko sahihi, lakini ianzishwe, then tuone Nape mwenendo wake. MBINU ZA MAPAMBANO HUPATIKANA KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO
 
Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.

Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Siku wakiwa nayo zile faini za 25m,na vifungo vya siku tisini kwa vyombo vya habari na wanahabari vinafufuka upya ongeza potea njia na potea potea nyingi za watu na wanahabari ilhali uzao wa wanyama wa madoa doa ukiongezeka sana🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
CHADEMA kuwa na TV haiwezi kuwa sababu ya kutosha kuleta mabadiliko ya kisiasa na Uchumi Tanzania.

Shida ipo kwa wananchi wenyewe, angalia mfano wa ufahamu wa kisiasa na haki uliopo Nchini Kenya, ni tofauti sana hali ilivyo hapa Nchini, uchawa unazidi kusitawisha mamlaka ya mkoloni Mweusi.
 
Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.

Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Fanya hv, chadema wachukue nchi kwa miaka 60+, harafu uje uwaulize hilo swali!?
Kama swali hilo, huna jibu, kimbilia milembe hospitari ya vichaa Dodoma ukapimwe kichwa
 
Back
Top Bottom