Chadema mnakwama wapi? Naangalia Channel Ten, ni habari za CCM tu!
Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.
Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Pia Soma
- CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025
Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.
Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Pia Soma
- CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025