Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itafungiwa na TCRAChadema mnakwama wapi? Naangalia Channel Ten, ni habari za CCM tu!
Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.
Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Pia Soma
- CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025
Unakua na TV na Radio ambazo zinakua chini ya sisiemu ni wastage of resources kila siku watafungiwa mje kusema wanapendelea habari za chama chap Acha wabanane humo humour kwenye hizi wanazomiliki sisiemu na alliesChadema mnakwama wapi? Naangalia Channel Ten, ni habari za CCM tu!
Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.
Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Pia Soma
- CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025
Hakika
Ni Kweliii kabisaaMimi ni Mwanachama wa Chadema nakiri kusema Kitengo cha Management Habari Maelezo Hakina Kazi hata Zero.
Ni kitengo cha hovyo chenye watu wasio na uwezo hata kidogo.
.habari za Chadema zinasambaa tu kwa sababu ya Mapenzi ya watanzania kupenda kuhabarishana kuhusu Chama Chao ila hiyo management ya Habari Maelezo ni ya Hovyo ni Ya hovyo Kweli kweli