Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Mwenyekiti mpya aanze na hiliTunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.
Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Pia Soma
- CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025
. MBINU ZA MAPAMBANO HUPATIKANA KATIKA UWANJA WA MAPAMBANOuko sahihi, lakini ianzishwe, then tuone Nape meenendo wake. MBINU ZA MAPAMBANO HUPATIKANA KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO
Nani awape CHADEMA leseni?
Hivi mleta mada unadhani Chadema hawajawahi kuomba kuanzisha vyombo vyao vya habari kama Redio na Tv?
All in all, ni muhimu sana kwa CHADEMA kuwa na TV yao.
Mimi ni Mwanachama wa Chadema nakiri kusema Kitengo cha Management Habari Maelezo Hakina Kazi hata Zero.Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.
Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Pia Soma
- CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025
Kama Kiongozi ni wewe naomba tu univumilie niseme na wewe ni mtu wa hovyo.Nimekupata
Binaadam tumeumbwa wote kwa Usawa lakini tunazidiana viwango vya ubora na upungufu wa Usawa huo.Ni kweli wananchi wanaweza pigia kura kiongozi wa upinzani kwa kumuamini yeye kama yeye na sio kubebwa na chama kiama ilivyokuwa siku za nyuma chadema hakikua chama cha mchezo mchezo yaani alikua akipanda jukwaani Dr. Slaa akimwaga sera unaona kabisa jamaa anafaa kupewa nchi. Embu nambie ukweli leo hii upinzani ni nani anaweza kupewa nchi akafikia hata robo ya kiwango cha JPM.
Wengi wao ni waongeaji ila utendaji zero nahao ndio wengi wapo kwenye vyama vya siasa sio chadema wala ccm.
Ukitumia akili ta kuzaliwa utagundua alikuwa raisi wa viwango. Ili ujue mtu ni mfupi lazima umuone aliyemzidi kwa urefu.Binaadam tumeumbwa wote kwa Usawa lakini tunazidiana viwango vya ubora na upungufu wa Usawa huo.
Marehemu JPM kapitishwa lini Kama SI Unit ya ubora wa Urais?
Chadema kazi yao kulia lia tu ndiyo wanaiweza,lakini hawaendi na wakati hawaamini katika njia mbalimbali za uenezi na mawasiliano na wananchi. chama kikubwa hakina TV wala Redio. kipindi hiki cha huyu mama ndiyo kingefaa kuomba TCRA. Wao ni mikutano tu. Hawawezi kuwafikia wote. BadilikeniMkuu sio rahisi kiivyo, unakumbuka gazeti la Tanzania Daima?
Wakianzisha kila siku watashinda mahakamani kwa kesi za uchochezi,
Pia kumbuka boss wa wanahabari ni Nape Mnauye
Sasa hata mbuzikuku analiona hilo je vipi mbuzibata analionaje๐Nape kamnyima Elon Musk permit atakubali kuwapa Chadema leseni hiyo?
Mwenye Saccos hapangiwiNani awape CHADEMA leseni?
Hivi mleta mada unadhani Chadema hawajawahi kuomba kuanzisha vyombo vyao vya habari kama Redio na Tv?
All in all, ni muhimu sana kwa CHADEMA kuwa na TV yao.
Maoni yangu ni kwamba shida cyo CHADEMA mfumo tuliyo nao na sheria za CCM ni kandamizi sana kwakifupi trafki anaye ongoza haya magari anaruhusu upande moja tu wa kijani โฆ.. tuliza akili utanielewaTunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.
Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Pia Soma
- CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025
Chadema wana Tv na redio zao kule X(Twitter)Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.
Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Pia Soma
- CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025
Ni vyema cdm wakawa na TV/Redio yao. Lakini ukweli wa dhahiri hakuna mfuasi wa kweli wa upinzani anatazama hiyo channel 10.Tunakumbushana tu! Jamani publicity ni muhimu sana katika propaganda za Siasa.
Piga ua chadema mnahitaji TV na Radio.
Erythrocyte , rafiki tunakwama wapi?
Pia Soma
- CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025