Pre GE2025 CHADEMA mnashindwa kuwa na Tv, radio kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni muhimu kweli nao kuwa na vyombo vyao vya habari
 
Unakua na TV na Radio ambazo zinakua chini ya sisiemu ni wastage of resources kila siku watafungiwa mje kusema wanapendelea habari za chama chap Acha wabanane humo humour kwenye hizi wanazomiliki sisiemu na allies
 
Ni Kweliii kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…