Mimi ni Mwanachama wa Chadema nakiri kusema Kitengo cha Management Habari Maelezo Hakina Kazi hata Zero.
Ni kitengo cha hovyo chenye watu wasio na uwezo hata kidogo.
.habari za Chadema zinasambaa tu kwa sababu ya Mapenzi ya watanzania kupenda kuhabarishana kuhusu Chama Chao ila hiyo management ya Habari Maelezo ni ya Hovyo ni Ya hovyo Kweli kweli