CHADEMA mnavyokumbatia watu wanaotukana mtandaoni inawafanya muonekane chama cha kihuni

CHADEMA mnavyokumbatia watu wanaotukana mtandaoni inawafanya muonekane chama cha kihuni

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Kuna watu kama Kigogo, Mange, Sukununu n.k ni watu ambao walivuma wakiitukana viongozi mtandaoni na kupata umaarufu kwa nyakati tofauti, na viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakidandia upepo wao japo baadae watu hawa wanakuja kuwageuka na kuwatukana na kudhalilisha viongozi wa CHADEMA.

Licha ya kuwageuka na kuwatukana CHADEMA watu hawa wanaonekana ni wana CHADEMA na hivyo kuharibu sura ya CHADEMA na kuifanya kuonekana ni chama kilichojaa vijana wahuni.

Vijana ambao hawana content yeyote ya msingi ya kukosoa serikali zaidi ya matusi.

Hii inafanya chama kupoteza heshima.
 
Cdm sio watu, Tanzania bado hatuna chama cha siasa cha Ukweli na uzalendo
Wote ni wasanii..! Wanajali matumbo yao na watoto wao...!🚮
 
Cdm sio watu, Tanzania bado hatuna chama cha siasa cha Ukweli na uzalendo
Wote ni wasanii..! Wanajali matumbo yao na watoto wao...!🚮
ACT Wazalendo?
 
Cdm sio watu, Tanzania bado hatuna chama cha siasa cha Ukweli na uzalendo
Wote ni wasanii..! Wanajali matumbo yao na watoto wao...![emoji706]
Uzalendo ni spirit huwezi kuiona kwa macho, wacha ujinga au punguza ujinga wako kaisi
 
Yule Mwenyekiti wa Uvccm alietishia kuuwa hadharani huko Bukoba, alichukuliwa hatua gani, iwe kichama au kisheria?
 
Kuna mtu katukanwa kama Lowasa na hao CCM? umesahu matusi ya nguoni kabisa kutoka CCM? au kunya anye kuku akinya Bata kaharisha? wacha ujinga.
 
Soma mwenyewe kwanza uone ulichokiandika kama kinajadilika, naona ulichokiandika ni kama Chadema wanajitukana wenyewe! Hebu weka vizuri sentenso zako.
 
Yule Mwenyekiti wa Uvccm alietishia kuuwa hadharani huko Bukoba, alichukuliwa hatua gani, iwe kichama au kisheria?
Mkuu muulize kuna mtu akatukanwa kama Lowasa nchi hii? Badi record ya wana CCM kumtukana Lowasa haijavunjwa
 
Mkuu mmoja amesema hadharani mbele ya Mwenyekiti wa CCM kuwa kuna mawaziri wanaowalipa hao wanaotukans viongozi. Kuna waziri ambae ni mwanachama wa Chadema?

Amandla...
 
Seems like hakuna unachokifahamu kabisa,, umeandika kwa mhemko tu.
 
Back
Top Bottom