Adui wa adui yako ni rafiki yako,. Hapo kama huelewi sasa basi
Na kesho akianza kumtukana Mbowe je mutasemaji? Mana mwendawazimu hana dhamana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adui wa adui yako ni rafiki yako,. Hapo kama huelewi sasa basi
tutapingana naeNa kesho akianza kumtukana Mbowe je mutasemaji? Mana mwendawazimu hana dhamana
Mbowe ameshatukanwa sana atukanwe mara ngapiNa kesho akianza kumtukana Mbowe je mutasemaji? Mana mwendawazimu hana dhamana
Kigogo ni sapoter wa ccm tangu 2021 hadi atakapo tangaza tena.Kuna watu kama Kigogo, Mange, Sukununu n.k ni watu ambao walivuma wakiitukana viongozi mtandaoni na kupata umaarufu kwa nyakati tofauti, na viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakidandia upepo wao japo baadae watu hawa wanakuja kuwageuka na kuwatukana na kudhalilisha viongozi wa CHADEMA.
Licha ya kuwageuka na kuwatukana CHADEMA watu hawa wanaonekana ni wana CHADEMA na hivyo kuharibu sura ya CHADEMA na kuifanya kuonekana ni chama kilichojaa vijana wahuni.
Vijana ambao hawana content yeyote ya msingi ya kukosoa serikali zaidi ya matusi.
Hii inafanya chama kupoteza heshima.
HahaaHuku ccm mpaka mawaziri wanatukana na hawafanywi kitu.
Umesahau mawaziri wa ccm sio tu wanakumbatiwa bali wameteuliwa n wanakula kodi zetu?Kuna watu kama Kigogo, Mange, Sukununu n.k ni watu ambao walivuma wakiitukana viongozi mtandaoni na kupata umaarufu kwa nyakati tofauti, na viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakidandia upepo wao japo baadae watu hawa wanakuja kuwageuka na kuwatukana na kudhalilisha viongozi wa CHADEMA.
Licha ya kuwageuka na kuwatukana CHADEMA watu hawa wanaonekana ni wana CHADEMA na hivyo kuharibu sura ya CHADEMA na kuifanya kuonekana ni chama kilichojaa vijana wahuni.
Vijana ambao hawana content yeyote ya msingi ya kukosoa serikali zaidi ya matusi.
Hii inafanya chama kupoteza heshima.
Kuna watu kama Kigogo, Mange, Sukununu n.k ni watu ambao walivuma wakiitukana viongozi mtandaoni na kupata umaarufu kwa nyakati tofauti, na viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakidandia upepo wao japo baadae watu hawa wanakuja kuwageuka na kuwatukana na kudhalilisha viongozi wa CHADEMA.
Licha ya kuwageuka na kuwatukana CHADEMA watu hawa wanaonekana ni wana CHADEMA na hivyo kuharibu sura ya CHADEMA na kuifanya kuonekana ni chama kilichojaa vijana wahuni.
Vijana ambao hawana content yeyote ya msingi ya kukosoa serikali zaidi ya matusi.
Hii inafanya chama kupoteza heshima.