CHADEMA mnavyokumbatia watu wanaotukana mtandaoni inawafanya muonekane chama cha kihuni

CHADEMA mnavyokumbatia watu wanaotukana mtandaoni inawafanya muonekane chama cha kihuni

Kuna watu kama Kigogo, Mange, Sukununu n.k ni watu ambao walivuma wakiitukana viongozi mtandaoni na kupata umaarufu kwa nyakati tofauti, na viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakidandia upepo wao japo baadae watu hawa wanakuja kuwageuka na kuwatukana na kudhalilisha viongozi wa CHADEMA.

Licha ya kuwageuka na kuwatukana CHADEMA watu hawa wanaonekana ni wana CHADEMA na hivyo kuharibu sura ya CHADEMA na kuifanya kuonekana ni chama kilichojaa vijana wahuni.

Vijana ambao hawana content yeyote ya msingi ya kukosoa serikali zaidi ya matusi.

Hii inafanya chama kupoteza heshima.
Kigogo ni sapoter wa ccm tangu 2021 hadi atakapo tangaza tena.
 
Kuna watu kama Kigogo, Mange, Sukununu n.k ni watu ambao walivuma wakiitukana viongozi mtandaoni na kupata umaarufu kwa nyakati tofauti, na viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakidandia upepo wao japo baadae watu hawa wanakuja kuwageuka na kuwatukana na kudhalilisha viongozi wa CHADEMA.

Licha ya kuwageuka na kuwatukana CHADEMA watu hawa wanaonekana ni wana CHADEMA na hivyo kuharibu sura ya CHADEMA na kuifanya kuonekana ni chama kilichojaa vijana wahuni.

Vijana ambao hawana content yeyote ya msingi ya kukosoa serikali zaidi ya matusi.

Hii inafanya chama kupoteza heshima.
Umesahau mawaziri wa ccm sio tu wanakumbatiwa bali wameteuliwa n wanakula kodi zetu?
Na ndio kundi limetangazwa na Makonda kwa kutukana viongozi.
 
Ufafanuzi kidogo - ni kiongozi yupi wa Chadema alijitokeza na kusema kwamba chama kinawaunga mkono hao uliowataja? Je, wewe ni mtetezi wa serikali au ni chawa wa ccm?
Kuna watu kama Kigogo, Mange, Sukununu n.k ni watu ambao walivuma wakiitukana viongozi mtandaoni na kupata umaarufu kwa nyakati tofauti, na viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakidandia upepo wao japo baadae watu hawa wanakuja kuwageuka na kuwatukana na kudhalilisha viongozi wa CHADEMA.

Licha ya kuwageuka na kuwatukana CHADEMA watu hawa wanaonekana ni wana CHADEMA na hivyo kuharibu sura ya CHADEMA na kuifanya kuonekana ni chama kilichojaa vijana wahuni.

Vijana ambao hawana content yeyote ya msingi ya kukosoa serikali zaidi ya matusi.

Hii inafanya chama kupoteza heshima.
 
Back
Top Bottom