CHADEMA mnaweza kuwekwa mtegoni kwa kuingiziwa ruzuku itokanayo na Wabunge wa Viti Maalum msiowatambua

A
Why can't you resist?

'
Any fair minded person will describe it as a stupid way to go-Simple as that. It's not easy to think or understand about a party with 50+ years of experiences employing stone ages techniques in 21st century-very poor stratergy.
 
Why can't you resist?

'
The first question you could have asked your self is why are they bribing oppositions in the first place?Even ACT with less than five years experience will not do that because its a stupid way to go.
 
Watafukuzwa tu na chama kitabaki kuwa imara na CCM ndio itakayoumbuka.
 
I
A

Any fair minded person will describe it as a stupid way to go-Simple as that. It's not easy to think or understand about a party with 50+ years of experiences employing stone ages techniques in 21st century-very poor stratergy.
If you think the strategies it applies are stone-aged ones, why can't you use modern ways of repelling them or avoiding them. Since a departure of Hon. Dr. Slaa, looks like there is a huge leadership void within CDM. Based on a current prevailing Mdee et al, 2020 turmoil, I am even tempted to say, every senior leader within CDM IS A PROSPECTIVE TRAITOR. YOU CAN'T TRUST ANYBODY. My friend, this is just a beginning.
 
Mkuu yaani Mbowe kabisa arudishe mzigo? Hebu tuwe serious kidogo.
 
Kwani ruzuku inatokana na wabunge wa viti maalum, au wabunge wa majimbo wa chama husika au idadi ya kura za urais ambazo chama kimepata!?
 
Wakichukua imekula kwao.

Mkuu huo sio mtego.
Bali huo ni mpango maalumu ambao unapangwa na watu maalumu na unaamuliwa na watu maalumu.

Sio lazima wakina Mnyika wajue.


Unakumbuka kuna Waraka ulitoka kipindi cha kina zitto ndani yake yupo mdau alisema Baada kufukuzwa wakina kitila atakuja zitto atakuja Slaa watu walimtukana lakin ikawa hivyo.

Baadaye alimsihi Mnyika atulie kwani ndani ya Chama yeye mtumiwa lakin Lissu aliambiwa ni mpitaji tu Chadema sasa wacha tuone.

Ni HALIMA au Mnyika na Lissu.

Mwamuzi ni Mbowe na kamati maalumu ya wasuka mipango.
 
Kuna hatari ya kuwa hio ruzuku inaweza Kupelekwa kwa hao wabunge na wao wakatambulika kuwa ndio chadema rasmi,kama walofanyiwa cuf,kwa hali ilivyo saivi anything is possible
Haiwezekani technically kwa sababu ruzuku huingizwa kwenye akaunti ya chama, ambayo ina utaratibu maalumu wa kutoa fedha kwa kutumia watia saini walioidhinishwa. Ila kwa utemi wa awamu hii lolote linawezekana maana hata hayo majina ya wabunge wa viti maalum yalitakuwa kwanza yapelekwe na katibu mkuu Mnyika huko NEC, then NEC I watangaze na kupeleka orodha kwa spika ili waweze kuapishwa. Sasa inasemekana wao wameenda kwa spika wakaapishwa ndiyo orodha hiyo ikaenda NEC...
 
What if kwenye kikao cha kamati kuu ya chama kitakachofanyika Ijumaa hao viti maalum wakafukuzwa uanachama wa CHADEMA?
Kwa ninavyojua misimamo ya akina Lissu, John Heche, Mnyika etc hao na yule mbunge wa Nkasi watafukuzwa,Mark this post. Ila kwa staili ile ile ya yule Mwambe, hawa wabunge 20 wataendelea kubaki bungeni, wakiwa ni wabunge wa viti maalum vya spika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Maamuzi ya vikao halali vya chama yalishafanyika na taarifa kutolewa kwa wanachama, akiwemo huyo Aida, sasa kama amekaidi kuna haja ya kumpigia simu kweli? Ni kusubiri kikao kingine cha maamuzi basi.
 
Hapo ndiyo finali uzeeni.Chadema ina masaa 24 ya kuishi hadi kesho jioni.Chezea kina mama, penye wanawake kuna jeshi kubwa.Mkubali yaishe kunusuru chama
 
CC: Josep
Waingiziwe mara mbili?!

Unadhani kwanini wamepeleka majina haraka haraka?!
Kumbe unaendeleza hii habari!
 

Kama Bernard Morrison alirudisha vijidola vya ya Yanga CDM itashindwaje kuutangazia ulimwengu na kuwarudishia waliotoa hiyo ruzuku haramu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…