CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake ili ajenge chama, usidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake ili ajenge chama, usidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Mbowe tapeli yule alikuwa anakopesha chama million 100 anakuja kukata million 200 mbowe kiufupi ana madudu mengi Sana
 
SI MACHAWA MNASEMA LlSU ANAKUBALIKA SANA, MWAMBIE AANZISHE CHAMA AWE NA MSIGWA, BY 2025 AINGIE MZIGONI WA KITU CHA URAIS
Ulichochangia kina uhusiano gani mada husika?
Au wewe ni mwa sha mbwa mwenye gwanda.
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na Heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adabu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
Utauzaje mali zako ujenge chama, ni kampuni ya fanilia?

Uekewe chana cha siasa ni mali ya umma.
Acheni wizi enyi (washaka)
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na Heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adabu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
Hao waliokufa wakiipigania chadema wao wasemeje?
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na Heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adabu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
Ni kweli sasa apishe damu changa aendelee kuheshimika
 
Haijalishi nipo kambi ya lissu kuna wakati lissu ananipa mashaka ila namuombea abadirike asipende kulopoka kwa kutweza watu maana hao bado wanaushawishi kuliko yeye
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na Heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adabu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
Mb
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na Heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adabu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
Mbowe kajenga Mahoteli huko kwao kupitia chadema,kila mwaka alikuwa anakopesha chadema na kujilipa kwa riba kubwa,kuna kipindi wabunge wake walikuwa wanalalamika kuwa wanakatwa ela nyingi kwaajili ya maendeleo ya chama, lakini zote zinaishia kumlipa Mbowe.Mbowe amenufaka na chadema kuliko hata hakina Makani waanzilishi.
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na Heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adabu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
LISSU alipigwa risasi 16, karibia afe.

Mbowe hajawahi KUPIGWA HATA MANATI....🤣🤣🤣🤣 Z aidi ya kulowa mvua kwenye Maandamano
 
Tunamsapoti Mbowe ila kusema kauza vitu vyake kuisaidia CHADEMA nakataa. Mali zinazoonekana za Mbowe ni za urithi toka kwa babake Aikaeli. Babake Mbowe alikuwa tajiri wa ukweli. Kwenye msiba wake nilkunywa soda 7. Wabunge wote wa CHADEMA walikuwa wanakatwa kwenye mishahara yao kusaidia chama kumbe wanamsaidia Mbowe. Kila hela anayokopesha chama huwa anadai kwa riba. Mbowe kanufaika zaidi na CHADEMA.
 
Back
Top Bottom