Pre GE2025 CHADEMA msipotumia akili huo mgao wenu wa Wabunge mlioahidiwa mtajikuta mmepewa Mbunge mmoja tena, achaneni na maridhiano

Pre GE2025 CHADEMA msipotumia akili huo mgao wenu wa Wabunge mlioahidiwa mtajikuta mmepewa Mbunge mmoja tena, achaneni na maridhiano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo.

Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume.

Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
 
Ukiacha tatizo kubwa lilipo juu ya uwepo wa CCM Tanzania, tatizo kubwa zaidi ni kukosekana kwa upinzani wa kweli Tanzania.

Nyusi wa Msumbiji kachapa lapa jana kwa kutumia helcopter, hii ni sababu ya uthabiti wa upinzani katika kudai haki yao.

Pakiwa na upinzani wa kweli hata wananchi wanaominika kuwa waoga watapata ujasiri.
 
Ukiacha tatizo kubwa lilipo juu ya uwepo wa CCM Tanzania, tatizo kubwa zaidi ni kukosekana kwa upinzani wa kweli Tanzania.

Nyusi wa Msumbiji kachapa lapa jana kwa kutumia helcopter, hii ni sababu ya uthabiti wa upinzani katika kudai haki yao.

Pakiwa na upinzani wa kweli hata wananchi wanaominika kuwa waoga watapata ujasiri.
Wasenge sana Hawa Chadema
 
Ukiacha tatizo kubwa lilipo juu ya uwepo wa CCM Tanzania, tatizo kubwa zaidi ni kukosekana kwa upinzani wa kweli Tanzania.

Nyusi wa Msumbiji kachapa lapa jana kwa kutumia helcopter, hii ni sababu ya uthabiti wa upinzani katika kudai haki yao.

Pakiwa na upinzani wa kweli hata wananchi wanaominika kuwa waoga watapata ujasiri.
Mkuu uko sahihi sana
 
Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo. Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume. Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
mpango wa kuachiana uliitwa kugawana nusu mkate,Chadewa walijitoa kwenye maridhiano hivyo hakuna tena kugawana nusu mkate。
P
 
Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo. Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume. Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
Chadema sio chama cha wenye njaa mkuu , Angalia uyu mama alivyojialibia katika uso wa dunia kwa kusikiliza Mchengerwa, yani juhudi za uyu mama katika uso wa dunia ,zimepukutika ndani ya masaa 72
 
Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo. Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume. Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
Wallah mapenzi yangu na chadema yananitesa saana kwa upuuzi wao, sioni wakitumia akili at the end nawaona na wao ni kama ccm tuu kwa uchu wa madaraka
 
Chadema sio chama cha wenye njaa mkuu , Angalia uyu mama alivyojialibia katika uso wa dunia kwa kusikiliza Mchengerwa, yani juhudi za uyu mama katika uso wa dunia ,zimepukutika ndani ya masaa 72
Uso gani wa dunia unaozungumzia wewe? Karibu nchi zote za dunia zinafanya songombingo na sarakasi hizihizi. Hutaki?

Kitu cha msingi hapo sie wananchi tutambue kwamba Tanzania ni yetu sote - sie wenyewe ndio wa kuijenga ama kuibomoa.
 
Wallah mapenzi yangu na chadema yananitesa saana kwa upuuzi wao, sioni wakitumia akili at the end nawaona na wao ni kama ccm tuu kwa uchu wa madaraka
Kwa hiyo Baba jayaron umeamini leo kwamba yule mwenyekiti wa mkongwe wa chama pinzani ni kada kindakindani wa chama tawala - ingawa anajitahidi sana kuficha hilo kwa kupeperusha bendera ya Q-ba?
 
Uso gani wa dunia unaozungumzia wewe? Karibu nchi zote za dunia zinafanya songombingo na sarakasi hizihizi. Hutaki?

Kitu cha msingi hapo sie wananchi tutambue kwamba Tanzania ni yetu sote - sie wenyewe ndio wa kuijenga ama kuibomoa.
Mchengerwa ,
 
Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo. Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume. Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
CCM inafanyaga maridhiano na kuingia mkataba wa maendeleo na wanainchi waTanzania pekee..

huo ushirikiana mwingine mkafanye ndani ya chama chenu chenye mpasuko chini na juu 🐒
 
Chadema ni wapuuzi sana…na kaka zao mboga mboga….Lao ni moja tu kutuuua watanganyika.
CDM ni chama cha siasa wewe unadhani watafanya nini zaidi ya siasa, Kwa sasa nchini kwetu huwezi ukapata uongozi wa kisiasa kwa njia halali kwa misingi hiyo Boksi la kura ni kiini macho na wakisusa wenzao wao wanaendelea. Afrika kusini ANC walipo shindwa kwenye mfumo wa kisiasa walianzisha mfumo wa kigaidi huo mfumo ndiyo uliyosababisha Makaburu wainue mikono juu, je unazani hiyo ni njia sahihi na CDM watumie? IMimi nadhani nafasi bado ipo yamazungumzo tatizo viongozi waupinzani ni njaa wakipatiwa vijisenti wanakamilisha shida zao kwanza pesa zikiisha wanarudi tena kulianzisha, wakiponzwa kidogo wananyuti kidogo kisha zikiisha wanalianzisha tena kwa mtindo huo hatutafika mbali. Tutpiga marketime siku zote. Taasisi za siasa za upinzani pamoja na njaa zao wanatakiwa wakati mwingine wawe serious la sivyo watachezewa siku zote. Haya maswala ya uharibu wa chaguzi siyo kwamba yametokea kwa bahati Mbaya viongozi wote wa upinzani wanayajua na sihasara walishakubaliana na kuhakisha kuwa vyovyote itakavyo kuwa sisi tutawatuliza wafuasi wetu.
 
Back
Top Bottom