Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta Mada, umeongea mambo ya msingi sana! Nionavyo vyama havijitambui, wananchi(raia) hatujitambui, sote tumekuwa kama wajinga! Inasikitisha sana. Sijui tunatoka vipi kwenye hili tope la aibu. Nchi yetu sasa hivi tumefika maali hatuwezi kushindana na mataifa jirani kwa sababu ya "cavalier attitude" tupo tupo tu!Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo.
Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume.
Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
Wakiachana na mariadhano, wafanyaje .?Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo.
Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume.
Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
Kwenye hayo makubaliano ndipo ulaghai ulioanzia, ngoja wavune walichopanda.Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo.
Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume.
Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
Sitaki kukubaliana na hilo ila naamini mfumo unaotumiwa na ccm sasa Tanzania hatujaamini kama unaweza ukatokeo Tanzania hivyo chadema walitakiwa wasimame na kujua namna ya kukabiliana na ccm ambayo ni kigaidiKwa hiyo Baba jayaron umeamini leo kwamba yule mwenyekiti wa mkongwe wa chama pinzani ni kada kindakindani wa chama tawala - ingawa anajitahidi sana kuficha hilo kwa kupeperusha bendera ya Q-ba?
Huyu babu na katili ni kijina mdogo?Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo.
Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume.
Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
Hebu ongeza nyama ktk hili mkuu. Sina A wala BNyusi wa Msumbiji kachapa lapa jana kwa kutumia helcopter,
Eeh!Lissu hakauki jimboni, anaweka mazingira mazuri ya kuupata mgao
Huu ni unafiki, hata kuandamana tu watu hawatoki. Mara ngapi Lissu, Mbowe na viongozi wengine wamejitokeza lakn hakuna support kutoka kwa wananchi.Ukiacha tatizo kubwa lilipo juu ya uwepo wa CCM Tanzania, tatizo kubwa zaidi ni kukosekana kwa upinzani wa kweli Tanzania.
Nyusi wa Msumbiji kachapa lapa jana kwa kutumia helcopter, hii ni sababu ya uthabiti wa upinzani katika kudai haki yao.
Pakiwa na upinzani wa kweli hata wananchi wanaominika kuwa waoga watapata ujasiri.
Hiyo ahadi kwao ilitoka kwako?Wazungu wanamsemo wao mashuhuri sana unaosema, there is no honor among thieves, wakimanisha kwamba wahalifu hawaheshimiani linapokuja suala la maslahi ama kugeukana. Sasa kwa watu wa namba tumeshaona uwezo wa Chadema kupewa ubunge kwa njia ya rushwa kama mlivyokubaliana na CCM ni kaburi la kifo.
Probability of an event inatoa majibu, ikiwa kwenye mitaa zaidi ya Elfu 4 mmebulia mitaa 36 vipi kwenye majimbo ya uchaguzi chini ya 300 mtapata Nini? Lissu alionya siasa zetu Sasa haziheshimu wananchi, haziheshimu wapiga kura, haziheshimu waasisi wa taifa hili tena kina Nyerere na karume.
Vijana wadogo kina Mohammed Mchengerwa wanaamua maisha ya watu kweli? Tuko serious ama tumerogwa? Hata hapo Rwanda, Uganda ama Somalia hakuna ujinga kama huu.
🚮Mbowe tulikuonya kuhusu kushangilia kifo cha Magufuli ukapuuza
Watu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali. Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo...www.jamiiforums.com
Mmh!CDM ni chama cha siasa wewe unadhani watafanya nini zaidi ya siasa, Kwa sasa nchini kwetu huwezi ukapata uongozi wa kisiasa kwa njia halali kwa misingi hiyo Boksi la kura ni kiini macho na wakisusa wenzao wao wanaendelea. Afrika kusini ANC walipo shindwa kwenye mfumo wa kisiasa walianzisha mfumo wa kigaidi huo mfumo ndiyo uliyosababisha Makaburu wainue mikono juu, je unazani hiyo ni njia sahihi na CDM watumie? IMimi nadhani nafasi bado ipo yamazungumzo tatizo viongozi waupinzani ni njaa wakipatiwa vijisenti wanakamilisha shida zao kwanza pesa zikiisha wanarudi tena kulianzisha, wakiponzwa kidogo wananyuti kidogo kisha zikiisha wanalianzisha tena kwa mtindo huo hatutafika mbali. Tutpiga marketime siku zote. Taasisi za siasa za upinzani pamoja na njaa zao wanatakiwa wakati mwingine wawe serious la sivyo watachezewa siku zote. Haya maswala ya uharibu wa chaguzi siyo kwamba yametokea kwa bahati Mbaya viongozi wote wa upinzani wanayajua na sihasara walishakubaliana na kuhakisha kuwa vyovyote itakavyo kuwa sisi tutawatuliza wafuasi wetu.
Upinzani wa kweli ukoje mkuu?! Kwa mtazamo wako!Ukiacha tatizo kubwa lilipo juu ya uwepo wa CCM Tanzania, tatizo kubwa zaidi ni kukosekana kwa upinzani wa kweli Tanzania.
Nyusi wa Msumbiji kachapa lapa jana kwa kutumia helcopter, hii ni sababu ya uthabiti wa upinzani katika kudai haki yao.
Pakiwa na upinzani wa kweli hata wananchi wanaominika kuwa waoga watapata ujasiri.
Watanzania ni wanafiki sana! Viongozi wa chadema wameshajitoa sana, kuwatetea watanzania ni kupoteza muda! Kila mtu aibe anavyoweza!Huu ni unafiki, hata kuandamana tu watu hawatoki. Mara ngapi Lissu, Mbowe na viongozi wengine wamejitokeza lakn hakuna support kutoka kwa wananchi.
Upinzani wa kweli unaanza na wananchi sio viongozi. Viongozi hawawezi anza kushawishi watu wawe wapinzani.
Ila katika kundi la wananchi wapinzani watatoka viongozi.